Jumapili, 4 Mei 2014

BAADA YA TUZO 7 MAMBO YALIKUWA HIVI

WEMA SEPETU, DIAMOND WAKIJIACHIA CHUMBANI BAADA YA TUZO;



MASUPASTAA ambao ni wachumba (wanasema wenyewe), Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu na Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ wakiwa katika pozi la kimahaba kitandani Naf beach hotel. Picha hizi Wema  amezitupia katika akaunti yake ya Instagram na kuandika maneno yafuatayo "Thank God tumemaliza salama...Nd we are Happy it went well...Alahamdulillah....Baadae inshallah...Tulale kwanza alafu yale mapichapicha na kila kitu, leteeeeers.."

0 comments:

Chapisha Maoni