Ijumaa, 23 Mei 2014

INASEMEKANA MPENZI WA NEY WA MITEGO ANATAKA KUGAWANA VITU NA NEY,SABABU IPO HAPA.



 picccMiongoni mwa mabalozi wapya kutoka mtandao wa Airtel ni pamoja na Ney wa mitego,stori ambayo imemfikia Soudy Brown ni kwamba mpenzi wake ametaka kugawana vitu na Ney wa Mitego ambavyo amevipata wakiwa pamoja,maongezi ya Ney wa Mitego alipoulizwa na Soudy Brown juu ya tuhuma hizi kama ni za kweli hiki ndicho alichojibu.

 Bonyeza play kumsikiliza Ney hapa.

Kuhusu Samuel Eto’o, Lampard, Cole na Mtanzania Nditi kuachwa na Chelsea


Screen Shot 2014-05-23 at 11.00.06 PM
May 23 2014 inaingia kwenye historia hata kwa Watanzania wenyewe manake kuona mkali wetu ameachwa kwenye kikosi cha Chelsea msimu ujao sio habari njema.

Kwa mujibu wa tovuti ya Premier League, Frank Lampard Ashley Cole na Samuel Eto’o inasemekana wameachwa kwa sababu mikataba yao na Chelsea imemalizika ambapo pia mtanzania Adam Nditi nae ameingia kwenye list ya wachezaji walioachwa na club hiyo.

Screen Shot 2014-05-23 at 10.53.51 PM

PATRICE EVRA AONGEZA MKATABA WA MWAKA MMOJA MANCHESTER UNITED

BEKI mfaransa, Patrice Evra ameongeza mkataba wa mwaka mmoja  Manchester United , klabu imethibitisha.
Evra alitazamiwa kuondoka baada ya United kuweka ofa ya paundi milioni 27 kwa beki wa kushoto wa Southampton , Luke Shaw.
Lakini beki huyo ameamua kubakia kwa mwaka mmoja katika ubosi wa kocha mpya Louis van Gall.
Staying put: Patrice Evra has extended his contract at Manchester United for one year
Anabaki: Patrice Evra ameongeza mkataba wa mwaka mmoja  Manchester United.

Mapema wiki hii, Evra aliripotiwa kuwa na mazungumzo na Juventus, lakini sasa atapambana na Shaw katika namba yake endapo tu Man United itafanikiwa kumsajili beki huyo wa kimataifa ya Uingereza majira ya kiangazi mwaka huu.

Kitendo cha Evra kuongeza mkataba kitapokelewa kwa furaha na mashabiki wengi wa Man United ambao wana mapenzi ya moyoni na beki huyo mwenye miaka 33 tangu alipojiunga na timu hiyo mwaka 2006 akitoka Monaco.
Evra pia ni mchezaji anayependwa na wenzake katika vyumba vya kubadilishia nguo, pia anasifiwa kwa uwezo mkubwa wa kiuongozi.
Beki huyo wa zamani wa Nice, aliyeichezea United mechi 379 alionesha kiwango kizuri msimu uliopita, licha ya klabu kudoda katika kipindi hicho cha David Moyes.
Aliifungia United bao la kuongoza katika mchezo wa robo fainali ya UEFA dhidi ya Bayern Munich, japokuwa haikutosha kuwabakisha kwenye mashindano katika uwanja wa Allianz Arena.
Represent: Evra (right) is currently on international duty with France ahead of the World Cup
Evra (kulia) kwasasa yupo katika kambi ya timu ya taifa ya Ufaransa kujiandaa na fainali za kombe la dunia mwezi ujao nchini Brazil

KATIBU WA NCCR-MAGEUZI ATIWA MBARONI.......


LULU AAMUA KUACHIA MAZIWA YAKE BARABARA MCHANA KWEUPEEE!!


Nadhani umeshagundua kitu

BIBI WA MIAKA 63 AKAMATWA NA ZAIDI KILO 6 AIRPORT CHEKI MKANDA MZIMA HAPA




Bibi Kizee akamatwa na madawa ya kulevya Airport ya Brazil jana rio de janairo

Inatia huruma na kusikitisha sana kama dada zetu ,mama zetu na hata bibi zetu sasa wana diriki kuangamiza vijana na jamii kwa ujumla.