Jumamosi, 21 Juni 2014

BREAKING NEWS: WATU 18 WAFARIKI DUNIA ENEO LA MAKONGO KWA AJALI YA COASTER NA LORI



Gari aina ya Toyota Coaster inayofanya safari zake kati ya Ubungo na Tegeta jijini Dar es Salaam imepata ajali mbaya leo mchana baada ya kugongana na gari lingine na kusababisha vifo vya watu wanaokadiriwa kuwa zaidi ya 18 katika eneo la Makongo Sekondari jijini Dar. Maiti bado zipo eneo la tukio, habari zaidi zitakujia hivi punde.!



Alhamisi, 19 Juni 2014

SOMA HAPA, RATIBA NZIMA YA LIGI KUU ENGLAND 2014/2015




RATIBA NZIMA YA LIGI KUU ENGLAND 2014/2015.
16 August 2014
Arsenal v Crystal Palace
Burnley v Chelsea
Leicester City v Everton
Liverpool v Southampton
Manchester United v Swansea City
Newcastle United v Manchester City
Queens Park Rangers v Hull City
Stoke City v Aston Villa
West Bromwich Albion v Sunderland
West Ham United v Tottenham Hotspur
23 August 2014
Aston Villa v Newcastle United
Chelsea v Leicester City
Crystal Palace v West Ham United
Everton v Arsenal
Hull City v Stoke City
Manchester City v Liverpool
Southampton v West Bromwich Albion
Sunderland v Manchester United
Swansea City v Burnley
Tottenham Hotspur v Queens Park Rangers
30 August 2014
Aston Villa v Hull City
Burnley v Manchester United
Everton v Chelsea
Leicester City v Arsenal
Manchester City v Stoke City
Newcastle United v Crystal Palace
Queens Park Rangers v Sunderland
Swansea City v West Bromwich Albion
Tottenham Hotspur v Liverpool
West Ham United v Southampton

13 September 2014

Arsenal v Manchester City
Chelsea v Swansea City
Crystal Palace v Burnley
Hull City v West Ham United
Liverpool v Aston Villa
Manchester United v Queens Park Rangers
Southampton v Newcastle United
Stoke City v Leicester City
Sunderland v Tottenham Hotspur
West Bromwich Albion v Everton

20 September 2014

Aston Villa v Arsenal
Burnley v Sunderland
Everton v Crystal Palace
Leicester City v Manchester United
Manchester City v Chelsea
Newcastle United v Hull City
Queens Park Rangers v Stoke City
Swansea City v Southampton
Tottenham Hotspur v West Bromwich Albion
West Ham United v Liverpool

27 September 2014

Arsenal v Tottenham Hotspur
Chelsea v Aston Villa
Crystal Palace v Leicester City
Hull City v Manchester City
Liverpool v Everton
Manchester United v West Ham United
Southampton v Queens Park Rangers
Stoke City v Newcastle United
Sunderland v Swansea City
West Bromwich Albion v Burnley

4 October 2014

Aston Villa v Manchester City
Chelsea v Arsenal
Hull City v Crystal Palace
Leicester City v Burnley
Liverpool v West Bromwich Albion
Manchester United v Everton
Sunderland v Stoke City
Swansea City v Newcastle United
Tottenham Hotspur v Southampton
West Ham United v Queens Park Rangers

18 October 2014

Arsenal v Hull City
Burnley v West Ham United
Crystal Palace v Chelsea
Everton v Aston Villa
Manchester City v Tottenham Hotspur
Newcastle United v Leicester City
Queens Park Rangers v Liverpool
Southampton v Sunderland
Stoke City v Swansea City
West Bromwich Albion v Manchester United

25 October 2014

Burnley v Everton
Liverpool v Hull City
Manchester United v Chelsea
Queens Park Rangers v Aston Villa
Southampton v Stoke City
Sunderland v Arsenal
Swansea City v Leicester City
Tottenham Hotspur v Newcastle United
West Bromwich Albion v Crystal Palace
West Ham United v Manchester City

1 November 2014

Arsenal v Burnley
Aston Villa v Tottenham Hotspur
Chelsea v Queens Park Rangers
Crystal Palace v Sunderland
Everton v Swansea City
Hull City v Southampton
Leicester City v West Bromwich Albion
Manchester City v Manchester United
Newcastle United v Liverpool
Stoke City v West Ham United

8 November 2014

Burnley v Hull City
Liverpool v Chelsea
Manchester United v Crystal Palace
Queens Park Rangers v Manchester City
Southampton v Leicester City
Sunderland v Everton
Swansea City v Arsenal
Tottenham Hotspur v Stoke City
West Bromwich Albion v Newcastle United
West Ham United v Aston Villa

22 November 2014

Arsenal v Manchester United
Aston Villa v Southampton
Chelsea v West Bromwich Albion
Crystal Palace v Liverpool
Everton v West Ham United
Hull City v Tottenham Hotspur
Leicester City v Sunderland
Manchester City v Swansea City
Newcastle United v Queens Park Rangers
Stoke City v Burnley

29 November 2014

Burnley v Aston Villa
Liverpool v Stoke City
Manchester United v Hull City
Queens Park Rangers v Leicester City
Southampton v Manchester City
Sunderland v Chelsea
Swansea City v Crystal Palace
Tottenham Hotspur v Everton
West Bromwich Albion v Arsenal
West Ham United v Newcastle United

2 December 2014

Arsenal v Southampton, 7.45pm
Burnley v Newcastle United, 7.45pm
Crystal Palace v Aston Villa, 8pm
Leicester City v Liverpool, 7.45pm
Manchester United v Stoke City, 7.45pm
Swansea City v Queens Park Rangers, 7.45pm
West Bromwich Albion v West Ham United, 8pm

3 December 2014

Chelsea v Tottenham Hotspur, 7.45pm
Everton v Hull City, 7.45pm
Sunderland v Manchester City, 7.45pm

6 December 2014

Aston Villa v Leicester City
Hull City v West Bromwich Albion
Liverpool v Sunderland
Manchester City v Everton
Newcastle United v Chelsea
Queens Park Rangers v Burnley
Southampton v Manchester United
Stoke City v Arsenal
Tottenham Hotspur v Crystal Palace
West Ham United v Swansea City

13 December 2014

Arsenal v Newcastle United
Burnley v Southampton
Chelsea v Hull City
Crystal Palace v Stoke City
Everton v Queens Park Rangers
Leicester City v Manchester City
Manchester United v Liverpool
Sunderland v West Ham United
Swansea City v Tottenham Hotspur
West Bromwich Albion v Aston Villa

20 December 2014

Aston Villa v Manchester United
Hull City v Swansea City
Liverpool v Arsenal
Manchester City v Crystal Palace
Newcastle United v Sunderland
Queens Park Rangers v West Bromwich Albion
Southampton v Everton
Stoke City v Chelsea
Tottenham Hotspur v Burnley
West Ham United v Leicester City

26 December 2014

Arsenal v Queens Park Rangers
Burnley v Liverpool
Chelsea v West Ham United
Crystal Palace v Southampton
Everton v Stoke City
Leicester City v Tottenham Hotspur
Manchester United v Newcastle United
Sunderland v Hull City
Swansea City v Aston Villa
West Bromwich Albion v Manchester City

28 December 2014

Aston Villa v Sunderland
Hull City v Leicester City
Liverpool v Swansea City
Manchester City v Burnley
Newcastle United v Everton
Queens Park Rangers v Crystal Palace
Southampton v Chelsea
Stoke City v West Bromwich Albion
Tottenham Hotspur v Manchester United
West Ham United v Arsenal

1 January 2015

Aston Villa v Crystal Palace
Hull City v Everton
Liverpool v Leicester City
Manchester City v Sunderland
Newcastle United v Burnley
Queens Park Rangers v Swansea City
Southampton v Arsenal
Stoke City v Manchester United
Tottenham Hotspur v Chelsea
West Ham United v West Bromwich Albion

10 January 2015

Arsenal v Stoke City
Burnley v Queens Park Rangers
Chelsea v Newcastle United
Crystal Palace v Tottenham Hotspur
Everton v Manchester City
Leicester City v Aston Villa
Manchester United v Southampton
Sunderland v Liverpool
Swansea City v West Ham United
West Bromwich Albion v Hull City

17 January 2015

Aston Villa v Liverpool
Burnley v Crystal Palace
Everton v West Bromwich Albion
Leicester City v Stoke City
Manchester City v Arsenal
Newcastle United v Southampton
Queens Park Rangers v Manchester United
Swansea City v Chelsea
Tottenham Hotspur v Sunderland
West Ham United v Hull City

31 January 2015

Arsenal v Aston Villa
Chelsea v Manchester City
Crystal Palace v Everton
Hull City v Newcastle United
Liverpool v West Ham United
Manchester United v Leicester City
Southampton v Swansea City
Stoke City v Queens Park Rangers
Sunderland v Burnley
West Bromwich Albion v Tottenham Hotspur

7 February 2015

Aston Villa v Chelsea
Burnley v West Bromwich Albion
Everton v Liverpool
Leicester City v Crystal Palace
Manchester City v Hull City
Newcastle United v Stoke City
Queens Park Rangers v Southampton
Swansea City v Sunderland
Tottenham Hotspur v Arsenal
West Ham United v Manchester United

10 February 2015

Arsenal v Leicester City, 7.45pm
Crystal Palace v Newcastle United, 8pm
Hull City v Aston Villa, 7.45pm
Liverpool v Tottenham Hotspur, 8pm
Manchester United v Burnley, 7.45pm
Southampton v West Ham United, 7.45pm
West Bromwich Albion v Swansea City, 8pm

11 February 2015

Chelsea v Everton, 7.45pm
Stoke City v Manchester City, 7.45pm
Sunderland v Queens Park Rangers, 7.45pm

21 February 2015

Aston Villa v Stoke City
Chelsea v Burnley
Crystal Palace v Arsenal
Everton v Leicester City
Hull City v Queens Park Rangers
Manchester City v Newcastle United
Southampton v Liverpool
Sunderland v West Bromwich Albion
Swansea City v Manchester United
Tottenham Hotspur v West Ham United

28 February 2015

Arsenal v Everton
Burnley v Swansea City
Leicester City v Chelsea
Liverpool v Manchester City
Manchester United v Sunderland
Newcastle United v Aston Villa
Queens Park Rangers v Tottenham Hotspur
Stoke City v Hull City
West Bromwich Albion v Southampton
West Ham United v Crystal Palace

3 March 2015

Aston Villa v West Bromwich Albion, 7.45pm
Hull City v Sunderland, 7.45pm
Liverpool v Burnley, 8pm
Queens Park Rangers v Arsenal, 7.45pm
Southampton v Crystal Palace, 7.45pm
West Ham United v Chelsea, 7.45pm

4 March 2015

Manchester City v Leicester City, 7.45pm
Newcastle United v Manchester United, 7.45pm
Stoke City v Everton, 7.45pm
Tottenham Hotspur v Swansea City, 7.45pm

14 March 2015

Arsenal v West Ham United
Burnley v Manchester City
Chelsea v Southampton
Crystal Palace v Queens Park Rangers
Everton v Newcastle United
Leicester City v Hull City
Manchester United v Tottenham Hotspur
Sunderland v Aston Villa
Swansea City v Liverpool
West Bromwich Albion v Stoke City

21 March 2015

Aston Villa v Swansea City
Hull City v Chelsea
Liverpool v Manchester United
Manchester City v West Bromwich Albion
Newcastle United v Arsenal
Queens Park Rangers v Everton
Southampton v Burnley
Stoke City v Crystal Palace
Tottenham Hotspur v Leicester City
West Ham United v Sunderland

4 April 2015

Arsenal v Liverpool
Burnley v Tottenham Hotspur
Chelsea v Stoke City
Crystal Palace v Manchester City
Everton v Southampton
Leicester City v West Ham United
Manchester United v Aston Villa
Sunderland v Newcastle United
Swansea City v Hull City
West Bromwich Albion v Queens Park Rangers

11 April 2015

Burnley v Arsenal
Liverpool v Newcastle United
Manchester United v Manchester City
Queens Park Rangers v Chelsea
Southampton v Hull City
Sunderland v Crystal Palace
Swansea City v Everton
Tottenham Hotspur v Aston Villa
West Bromwich Albion v Leicester City
West Ham United v Stoke City

18 April 2015

Arsenal v Sunderland
Aston Villa v Queens Park Rangers
Chelsea v Manchester United
Crystal Palace v West Bromwich Albion
Everton v Burnley
Hull City v Liverpool
Leicester City v Swansea City
Manchester City v West Ham United
Newcastle United v Tottenham Hotspur
Stoke City v Southampton

25 April 2015

Arsenal v Chelsea
Burnley v Leicester City
Crystal Palace v Hull City
Everton v Manchester United
Manchester City v Aston Villa
Newcastle United v Swansea City
Queens Park Rangers v West Ham United
Southampton v Tottenham Hotspur
Stoke City v Sunderland
West Bromwich Albion v Liverpool

2 May 2015

Aston Villa v Everton
Chelsea v Crystal Palace
Hull City v Arsenal
Leicester City v Newcastle United
Liverpool v Queens Park Rangers
Manchester United v West Bromwich Albion
Sunderland v Southampton
Swansea City v Stoke City
Tottenham Hotspur v Manchester City
West Ham United v Burnley

9 May 2015

Arsenal v Swansea City
Aston Villa v West Ham United
Chelsea v Liverpool
Crystal Palace v Manchester United
Everton v Sunderland
Hull City v Burnley
Leicester City v Southampton
Manchester City v Queens Park Rangers
Newcastle United v West Bromwich Albion
Stoke City v Tottenham Hotspur

16 May 2015

Burnley v Stoke City
Liverpool v Crystal Palace
Manchester United v Arsenal
Queens Park Rangers v Newcastle United
Southampton v Aston Villa
Sunderland v Leicester City
Swansea City v Manchester City
Tottenham Hotspur v Hull City
West Bromwich Albion v Chelsea
West Ham United v Everton

24 May 2015

Arsenal v West Bromwich Albion
Aston Villa v Burnley
Chelsea v Sunderland
Crystal Palace v Swansea City
Everton v Tottenham Hotspur
Hull City v Manchester United
Leicester City v Queens Park Rangers
Manchester City v Southampton
Newcastle United v West Ham United
Stoke City v Liverpool

SERIKALI YA TANZANIA HAINA HAKIMILIKI YA JINA LA MLIMA KILIMANJARO



SERIKALI imesema Tanzania haina haki miliki ya jina la mlima Kilimanjaro, hivyo mashirika mbalimbali yanaweza kutumia nembo ya jina hilo katika kutangaza vivutio vya utalii kama Shirika la Ndege la Kenya, Kenya Airways linavyodaiwa kutumia nembo ya Mlima huo.  

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Fredrick Werema, ameliambia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Jumanne Juni 17, 2014 kuwa kitendo cha Shirika hilo kutumia nembo ya mlima huo hakina madhara yoyote kutokana na kuwa hakuna aliye na hati miliki ya jina la mlima huo.  
 
Amesema, jambo hilo linatakiwa kutofautishwa na haki miliki zinazotumika kwenye vitabu mbalimbali vinavyoandikwa na waandishi katika jamii na zile zinazotajwa kwenye kazi za sanaa kutokana na lengo la kutumia nembo hiyo. 

 KQ-Kilimanjaro-texts  “Ni kweli kuwa kuna Ndege ya Shirika la Kenya inayotumia maandishi ya 'Mlima Kilimanjaro' lakini sio kosa kwasababu hakuna mtu aliyepatient kwa ajili ya mlima huo katika Ndege; kama sisi tungekuwa tumefanya kabla yao ingekuwa sawa, lakini pia ili ufanye hivyo ni lazima utumie ujuzi wa Interestial property na hii haihusiki ni haki miliki, ambayo inatumika kwenye vitabu na kwenye mambo sanaa”  Kauli ya Serikali inafuatia swali lililoulizwa na Mbunge wa Jimbo la Same Mashariki, Anne Kilango, ambaye alisema “Mataifa mengi yanatumia Ndege zao kutangaza vivutio vya utalii wa ndani kama vile Air Tanzania inavyotumia nembo ya Twiga na nadhalika ili kutangaza utalii huo, lakini kwanini Ndege ya shirika hilo inautangaza mlima Kilimanjaro kama ni wa kwao?
 Je, suala hili serikali inatoa kauli gani kwa kuwa suala hili sio sahihi” alikaririwa.  
kumekuwepo na mjadala mzito wa chini chini katika kipindi cha muda mrefu kuwa nchi jirani ya Kenya imekuwa ikijinadi katika mataifa mbalimbali kuwa inamiliki mlima huo na baadhi ya rasilimali zilizopo kando kando ya mlima huo na maeneo mengine, suala ambalo limetafsiriwa kuwa Kenya inajinufaisha kupitia rasilimali za Tanzania visivyo halali.

BAADA YA KIPIGO CHA 4-0, EKOTTO AMTWANGA 'NDOO' MWENZAKE

Benoit Assou-Ekotto akimtwanga 'ndoo' Moukandjo.


Benoit Assou-Ekotto (kulia) akimsogelea mwenzake Benjamin Moukandjo baada ya kipigo cha 4-0 kutoka kwa Croatia usiku wa kuamkia leo.
Moukandjo akimjia juu Ekotto baada ya kichwa hicho.
 
Samuel Eto'o akimtuliza Ekotto aliyepandisha hasira baada ya kichapo cha 4-0.
BEKI wa Cameroon, Benoit Assou-Ekotto aliamua kumpiga kichwa 'ndoo' mchezaji mwenzake Benjamin Moukandjo kufuatia kipigo cha mabao 4-0 dhidi ya Croatia.
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo wakati wa mechi ya Kombe la Dunia 2014 kati ya Cameroon na Croatia.
Katika mpambano huo Cameroon waliambulia kichapo cha mabao 4-0 na kuyaaga mashindano hayo baada ya kupoteza pia mechi yao ya kwanza dhidi ya Mexico kwa bao 1-0.

MBASHA ATOSWA GEREZANI KEKO, AKESHA AKILIA

Jina zima ni Emmanuel Mbasha (32) ambaye ni mume wa mwimba Injili Bongo, Flora Mbasha juzi amepandishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam ishu ni yale madai ya kumbaka mara mbili shemeji yake (jina lipo).


Basi lililombeba Emmanuel Mbasha likiwa chini ya ulinzi mkali wa askari magereza likisindikizwa kuelekea mahakamani.
Akisomewa mashitaka mbele ya hakimu mkazi wa mahakama hiyo, Wilberforce Luago, Wakili wa Serikali, Nassoro Katuga alidai mshitakiwa huyo alitenda makosa hayo mawili maeneo ya Tabata- Kimanga jijini Dar es Salaam.
Katika shitaka la kwanza, Wakili Katuga alisema Mei 23, mwaka huu, huko Tabata- Kimanga jijini Dar, mtuhumiwa huku akijua ni  kinyume cha sheria alimwingilia kwa nguvu msichana anayedaiwa kuwa ni shemeji yake.
Katika shitaka la pili, wakili huyo alisema Mei 25, mwaka huu hukohuko Tabata Kimanga, mshitakiwa alimwingilia tena kwa nguvu  shemeji yake huyo huku akiendelea kujua ni kinyume cha sheria.
MBASHA AULIZWA, ATOA NENO
Hata hivyo, mshitakiwa huyo alipotakiwa kusema kweli si kweli mahakamani hapo, alisema si kweli.
SERIKALI YASEMA HAINA PINGAMIZI YA KUWA HURU
Baada ya kutamka neno hilo, upande wa Jamhuri ulitoa hoja kwamba hauna pingamizi la dhamana kwa mshitakiwa hivyo, Hakimu Luago alitaja masharti ya dhamana kwa mshitakiwa.
Mume wa mwimbaji maarufu wa muziki wa injili Bongo, Flora Mbasha (Emmanuel Mbasha) pichani.
Hakimu huyo alisema ili mshitakiwa awe huru kwa dhamana alitakiwa kuwa na wadhamini wawili. Mmoja kati ya wadhamini hao awe mfanyakazi wa serikalini, mwingine atoke kwenye taasisi inayotambulika. Wote kama wapo, walitakiwa  kusaini hati ya dhamana ya shilingi milioni 5 kwa kila mmoja.
MBASHA AENDA KEKO
Hata hivyo, mshitakiwa huyo alishindwa kutimiza masharti ya dhamana hiyo hivyo hakimu aliamuru apelekwe kwenye Mahabusu ya Keko jijini Dar ambako atakuwa chini ya ulinzi. Mbasha aliondolewa mahakamani hapo akiwa chini ya ulinzi mkali wa polisi.
Kwa mujibu wa habari kutoka mahabusu, juzi baada ya kufikishwa magereza, mtuhumiwa huyo alikesha akilia na kusali ili janga hilo limwepuke, lakini si kama atakavyo yeye bali mapenzi ya Mungu yatimizwe.
LEO ANARUDI TENA
Ni kama shughuli imeanza kwani, hakimu alisema leo (Juni 19) mshitakiwa alitakiwa kurudi tena mahakamani hapo ambapo kesi yake itatajwa tena.
Mwimbaji maarufu wa muziki wa injili, Flora Mbasha.
FLORA ANAPOKEAJE TAARIFA ZA MUMEWE?
Paparazi alimsaka Flora ili azungumzie madai ya mumewe kupandishwa mahakamani ambapo alisema hana mawasiliano kabisa na Mbasha kwa hiyo hajui chochote kuhusu habari hizo.
PAPARAZI: “Sasa ndiyo unaambiwa, wewe unazipokeaje taarifa hizo?”
FLORA: “Hizo habari sizijui kama nilivyosema.”
Jumatatu iliyopita, paparazi aliipiga namba ya Mbasha, simu ilipokelewa na mtu mwingine ambaye alipoulizwa alipo Mbasha, alijibu hayupo kisha akakata simu.
Baada ya hapo, kila paparazi alipopiga simu hiyo haikupokelewa mpaka siku ilipoisha.
Jumanne iliyopita kabla Mbasha hajapanda kizimbani, paparazi alipiga tena simu hiyo ikapokelewa na mtu yuleyule wa jana yake lakini safari hii akawa mvumilivu, kwani hakukata simu haraka. Mazungumzo yalikuwa hivi;
paparazi: “Kaka habari yako?”
MPOKEA SIMU: “Njema, nani mwenzangu?”
paparazi: “Mimi ni … , naweza kuzungumza na Mbasha?”
MPOKEA SIMU: “Mbasha huwezi kuzungumza naye kwa sasa, ametoka.”
paparazi: “Saa ngapi atakuwa amerudi?”
MPOKEA SIMU: “Mwenyewe akiwa tayari atakupigia, nitamwambia.”
paparazi: “Oke, sawa.”
Flora Mbasha na mumewe.
NI KASHFA YA AINA YAKE
Sakata la Mbasha, liliibuliwa na kashfa kwamba mume huyo alimbaka mara mbili shemeji yake huyo ambaye alitoa taarifa kwenye Kituo cha Polisi Tabata Shule jijini Dar.

Hata hivyo, polisi walipokwenda kumkamata nyumbani kwake hawakumkuta na baada ya hapo alitoweka jumla mpaka Jumatatu iliyopita ambapo inadaiwa alikuwa akiishi kwa mdogo wake, Mbezi, Dar.
Kashfa hiyo ndiyo iliyoibua tuhuma kutoka kwa Mbasha akisema kuwa Mchungaji Gwajima alimuhifadhi mkewe nyumbani kwake baada ya yeye kukumbwa na tuhuma hiyo ya kubaka madai ambayo mtumishi huyo wa Mungu aliyapangua vizuri na Flora akabainika kwamba anaishi hotelini, Sinza jijini Dar.

LULU NA HUSNA WATAKA KUZICHAPA !!

MASTAA wa kike wanaotingisha Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ (pichani)  na Husna Maulid, ilibaki kidogo wazichape,

Diva wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’
Kabla ya tukio hilo, awali wawili hao waliwahi kuingia kwenye bifu baada ya kudaiwa walikuwa wanamgombea pedeshee mmoja wa mjini, kila mmoja akijipa uhalali wa kumilikiwa. Tukio hilo bichi kabisa lilitokea Juni 16, mwaka huu, Mikocheni jijini Dar es Salaam ambapo chanzo kinasema, wadada hao walikuwa wakirekodi sinema ambayo haijajulikana jina lake.

“Ni kweli walikuwa wakirekodi filamu, lakini kuna muda walizinguana ila watu wanasema bado wanakasirikiana kutokana na ile ishu ya kunyang’anyana mwanaume.
Mshiriki wa Miss Tanzania, 2011/2012 Husna Maulid
“Joti (Lucas Mhuvile – yule komediani wa Kundi la Orijino Komedi) alikuwepo eneo la tukio na ndiye aliyewapatanisha,” kilipasha chanzo hicho. Joti alipotakiwa kuzungumzia ishu hiyo, alikiri kutokea lakini kwenye kurekodi filamu huku akikataa kufafanua.
“We’ jua kuwa ilikuwa filamu, si ugomvi serious,” alisema Joti. Lulu hakupatikana kuzungumzia ishu hiyo lakini Husna alipopatikana alisema: “Tulitofautiana kikawaida tu kama wanawake lakini hatukufika kwenye mambo ya kupigana.”

Ijumaa, 6 Juni 2014

PICHA: BONGE LA MFUNIKO AISE, HEBU ONA CHRIS BROWN ALIVYOFANYA KUFURU AKISHEREKEA KUACHIWA KIFUNGONI. NI SHIDAA FULL KUPIGANA MADENDA NA MADEMU LOOOH!


Bpa1ufXIIAAHdoG.jpg (500×500)


 

 
Hii ni noma anasherekea baada ya kumaliza kifungo chake cha takribani miezi minne.Angalia anavyojirusha na wana hapa yaani ni bonge la shangwe.Chris aliachiwa alitoka jela mwezi huu tarehe 2.

Official: Roma sign Keita

Official: Roma sign Keita

The Mali international has joined the Italian capital club on a one-year deal just five months after moving to Valencia from Chinese side Dalian Aerbin
Roma have announced the signing of former Barcelona star Seydou Keita on a one-year deal.

The 34-year-old, who has 88 international caps for Mali, spent the last five months with Valencia in La Liga after moving from Chinese team Dalian Aerbin.

During his time with Los Che he made 11 league appearances, scoring one goal - the club's fastest ever in a match, coming after just nine seconds against Almeria.

Keita spent four years at Barcelona between 2008 and 2012, making 119 league appearances and scoring 16 goals, before joining Dalian Aerbin.

The midfielder started his career with Olympique de Marseille in Ligue 1 before moving on to Lorient and Racing Club de Lens, where he played over 200 times before joining Sevilla. After one season in Andalusia, he was transfered to Barca for an estimated €14 million.

Brazil 1-0 Serbia: Fred fires Selecao to victory

Fred Brazil Serbia Friendlies 06062014

The striker finished with aplomb in the 58th minute, after controlling a long ball forward from Thiago Silva

 
Mowa Press
Fred scored the only goal of the game as Brazil completed their World Cup preparations with a hard-fought 1-0 win over Serbia.

The Selecao were struggling to break down their European opponents when, in the 58th minute, the forward expertly controlled a long ball forward from Thiago Silva before prodding home.

Brazil had chances to add to their tally but were ultimately forced to settle for a narrow win.

Having not been tested by Panama in midweek, the World Cup hosts were at full-strength for the clash against Ljubinko Drulovic's side.

They were restrained for large spells, however, and coach Luiz Felipe Scolari will be aware improvement is required despite Fred's well-taken winner.

Brazil's victory may do little to fill an expectant nation with great confidence. However, with Neymar getting almost 80 minutes of action on his road to full fitness and Fred scoring his first in Brazil colours since the Confederations Cup, there are reasons for the hosts to be optimistic.

After a lively opening from both sides, Aleksandar Kolarov threatened first when he struck an effort wide of Julio Cesar's left-hand post after nine minutes.

Neymar then almost benefited from a block that fortuitously landed in his path - only for Ivanovic to produce a well-timed last-ditch tackle.

A combination of tenacious and robust defending helped keep Brazil's forwards well shackled, although Fred was next to threaten - his dipping strike veering off target 24 minutes in.

David Luiz was forced into a hurried clearance following Kolarov's fierce delivery before Aleksandar Mitrovic wasted the best chance of the half, heading wide with the goal at his mercy.

Luiz and Thiago Silva, who will team up at Paris Saint-Germain from next season, then got mixed up close to half-time, but an offside flag rescued Brazil as Lazar Markovic converted.

Scolari swapped Oscar for Willian at the break, presumably in an effort to shake things up, but Brazil still looked somewhat out of sorts.

Indeed, Dusan Tadic perhaps could have opened the scoring for Serbia had he gambled on reaching a cross lofted into the hosts' box.

Fred subsequently ensured first blood went to Brazil, the striker cleverly chesting Thiago Silva's delivery to take Branislav Ivanovic out of the game and then prodding the ball past Vladimir Stojkovic - despite having stumbled before doing so.

Neymar, lively but far from his dangerous best, then flashed an effort over the crossbar as his side sought to make the scoreline more emphatic.

There were to be no more goals, although Serbia's Milos Jojic and Brazil forward Jo hit the woodwork in the closing stages.

Brazil open their World Cup campaign against Croatia on June 12 and will be hopeful of a more fluent display.

Toni Kroos: Reus' injury didn't look good


Toni Kroos: Reus' injury didn't look good

The Borussia Dortmund star was clearly in pain after twisting his left ankle and the Bayern midfielder admitted his team-mate looked to be in distress
Germany are sweating on the fitness of Marco Reus after the attacker was forced off injured in Friday night's friendly against Armenia, with team-mate Toni Kroos admitted that the injury 'didn't look good'.

The Borussia Dortmund attacker had to be helped from the field by medics after suffering an apparent ankle injury just a minute before the end of the first half of the game in Mainz.

Reus had been left screaming on the ground in agony following a heavy challenge from Armenia midfielder Artur Yedigaryan, and Kroos stressed his concern.

He stated to ZDF, "It didn't look good at first glance. I hope he will be fit and ready because we need him."

Coach Joachim Low confirmed that Reus is to be assessed by doctors, adding: "He's in the hospital, undergoing a MRI-scan. We have to wait for the results.

"In such a situation you have many thoughts running through your head. During half-time we saw that his foot had swollen. I hope that he hasn't suffered a ligament injury and everything is okay."

The 25-year-old had been considered a certain starter for his country's World Cup opener against Portugal on June 16.

WAKATI ANASUBIRI TUZO ZA MTV, DIAMOND AMEWEKA REKODI NYINGINE TWITTER, SOMA HAPA

Diamond Platinumz ambaye yuko Durban Afrika Kusini akijiandaa na tuzo MTV,

ameongeza sababu nyingine ya kutabasamu baada ya akaunti yake ya Twitter kuwa Verified. Mkali huyo mwenye Followers Zaidi ya 34, 000 ametambuliwa na Twitter kuwa mmiliki pekee/halali wa akaunti yake.
“Thank you Twitter.” Diamond ameandika.

PICHA ZA VICHEKESHO ZA DIAMOND NA DAVIDO MTV HIZI HAPA









Tanzania's MTV MAMA nominee Diamond Platnumz on set with Nigeria's Nominee Davido shooting a hilarious skit for #mtvmama in Durban.

OMMY DIMPOZ AKARIBIA KUFULIA KWA HAYA.

 
 
 
UNAPOTAKA kutaja majina ya vijana chipukizi, ambao sasa wanaogelea katika bahari ya ustaa , basi huwezi kuliweka mbali jina la Ommy Dimpoz , mkali wa vibao vikali vya Baadaye na Tupogo. Hizi ngoma mbili zimekimbiza sana na nadhani ndizo zinazompa shoo nyingi , ndani na nje ya nchi , ingawa pia hivi karibuni aliingiza mtaani kazi yake nyingine inayokwenda kwa jina la Ndagushima. Katika vitu huwa napenda , basi ni kujaribu kuwa mkweli kwa kadiri ninavyoweza. Mimi ni shabiki mkubwa wa nyimbo hizi mbili, ninazipenda sana kuzisikiliza ingawa sidhani kama zina ujumbe wa viwango hivyo .

Ni kazi za kiburudani zaidi , hasa unapokuwa umetoka kwenye kazi ngumu ya kufikirisha ubongo kama hizi zetu. Staili yake ya muziki imemfanya kuwa kipenzi kikubwa kwa mashabiki na ukichanganya na ubitozi wake , basi siyo jambo la ajabu kuona kwamba kwa muda mfupi tu tangu amepata jina kimuziki, amepata shoo nyingi nje ya nchi , kiasi cha kumfanya awe miongoni mwa mastaa wanaoingiza mkwanja wa kutosha , kama shoo za nje zinaweza kuwa kigezo cha kupata zaidi . Sijawahi kukaa na huyu bwana mdogo hata siku moja katika ile hali ya kubadilishana mawazo, hivyo sitatenda haki kama nitajaribu kumhukumu kwa mambo ambayo sina uhakika nayo , ingawa baadhi ya matendo mbele ya watu yanaweza kusaidia kutafsiri tabia ya mtu!



Jumapili iliyopita, Juni 1, 2014 dogo alikuwa miongoni mwa wasanii waliohudhuria shoo kubwa ya uzinduzi wa kituo kimoja cha redio jijini Dar es Salaam uliofanyika katika Viwanja vya Mwembeyanga. Wasanii wengi walikuwepo na walifanya vizuri kwa kweli . Tatizo langu lilikuwa moja tu , kwa huyu chipukizi ambaye kama ataendelea kukaza buti kama hivi , basi haina shaka kwamba anaweza kuwa mojawapo ya alama za muziki wa kizazi kipya katika ulimwengu wa burudani . Wakati akipanda jukwaani , mashabiki kwa mamia , hawakuwa wamechangamka kama alivyotegemea na ili kuwaamsha, alivua kofia yake na kuwatupia .

Baada ya hapo akawatupia pia miwani. Hivi ni vitu vya kawaida kufanywa na mastaa wakubwa, inawafanya mashabiki kutambua jinsi gani mtu wao anavyowathamini . Na siyo wasanii wa muziki tu ambao hufanya hivi , wanasoka , wacheza tenisi, mabondia, madereva wa magari, wanariadha na wanamichezo wengine , huwarushia jezi , kofia na vitu vidogovidogo mashabiki wao . Ommy Dimpoz alifanya zaidi . Baada ya kutupa vitu hivyo na kukuta mashabiki wakiwa bado hawajapanda mzuka, alitoa shilingi elfu hamsini na kuwarushia.

Pata picha ya patashika iliyotokea kwa mashabiki. Unajua alichokisema ? “Sisi wasanii tunapata fedha nyingi kutoka kwenu nyinyi mashabiki wetu, kuonyesha kuwajali , naomba niwarudishie.” Hiyo tisa , kumi, Dimpoz alizama tena ‘ chimbo ’ na kuibuka na kiasi cha kama laki mbili hivi na kuwarushia tena watu waliojazana mbele yake ! Dah, sawa , wasanii wanapaswa kurudisha sehemu ya mapato yao kwa jamii, lakini sidhani kama ni kwa staili hii . Binafsi naona kama huu ni ushamba fulani hivi ! Mtu smati kichwani hawezi kutupa hela kwenye umati wa watu , tena wa uswahilini kama wa kule Temeke , unataka nini?

Naamini kabisa akitokea mtu hata kwenye kumbi ambazo tunajua zina watu wa afadhali , wenye uwezo wa kutoa kiingilio cha shilingi laki moja kama pale Mlimani City, bado akiibuka ‘ mtu wa mawe ’ na kurusha mahela itakuwa mshikemshike , sembuse Mwembeyanga? Zipo namna za kurudisha hela kwa jamii yako , siyo kwa wasanii tu , bali hata wafanyabiashara, kama wanavyofanya baadhi yao kama Dr . Reginald Mengi na Mzee Mustafa Sabodo.

Tafuta sehemu yenye shida ya maji , chimba kisima , angalia wenye shida ya huduma za afya, jenga zahanati au nenda katika vituo vya watoto yatima wape nguo , madaftari au hata kula nao chakula . Jamii yetu ina maskini wengi , kuwatupia hela kama vile huwasaidii , bali utawaumiza kwa sababu wataishia kugombana, kutoana ngeu na mwisho wa siku hakuna atakayeondoka na pesa kwa sababu zote zitachanika katika purukushani . Naamini kwa nilichokisema , Dimpoz atakuwa amenielewa. Source: Globe