Jumatatu, 2 Juni 2014

MAJOGOO WA JIJI WAENDELEA KUWIKA, SASA WAPANDA DAU NA KUFIKIA PAUNDI MILIONI 25 KUINASA SAINI YA ADAM LALLANA




Final offer: Liverpool have reportedly made a last bid of £25m for England and Southampton's Adam LallanaOfa ya mwisho: Liverpool wameripotiwa kuweka ofa ya paundi milioni 25 kumnasa kiungo wa kimataifa wa England na Southampton,  Adam Lallana
Second shot: The Reds' initial bid of £20m for the midfielder was rejected by St Mary's management

MICHEPUKO KWELI NOMA, MUME AMPIGA MKEWE NUSURA KUUA...KISA KUTOKA NJE YA NDOA

Mke wa mtu aliyejitambulisha kwa jina la Pamela Said (30) amedai kupigwa mchi kichwani na mumewe wa ndoa aliyemtaja kwa jina moja la Alex kisa kikiwa ni simu aliyopigiwa mumewe na hawara’ke.

Mke wa mtu anayefahamika kwa jina la Pamela Said (30) anayedai kupigwa mchi kichwani na mumewe wa ndoa aliyemtaja kwa jina moja la Alex.
Tukio hilo la kusikitisha lilijiri Mei 23, mwaka huu nyumbani kwa wanandoa hao, Mwembe-Supu, Ulongoni maeneo ya Gongo la Mboto, Dar muda mfupi baada ya kutoka kwenye bata ndefu usiku.
Habari zilidai kwamba kabla ya kugeukia masumbwi, wanandoa hao walikuwa kwenye ‘pub’ yao iitwayo Milano iliyopo maeneo hayo wakijiachia kwa raha zao.


Bi. Pamela Said akiwa katika maumivu makubwa.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, ilibainika kuwa siku hiyo majira ya saa 5:00 usiku, Alex, akiwa amepitiwa na usingizi simu yake iliita huku jina la Salima likionekana kwenye ‘skriini’.
Ilisemekana kwamba Salima aliwahi kuwa mfanyakazi katika pub yao ambapo Pamela alimtuhumu kuwa na uhusiano na mumewe.


Bw. Alex, mume wa Pamela Said.
Ilidaiwa kuwa Pamela alimuomba mumewe wakamtimua kazi Salima lakini amekuwa akiendeleza uhusiano huku akipiga simu mara kwa mara hasa usiku kitendo ambacho kilimchukiza Pamela.
Ilidaiwa kuwa baada ya kuona simu hiyo, Pamela alimuamsha mumewe ambaye alipokea simu hiyo na kuanza kujikanyaga na kukata simu ndipo alipompigia kwa namba yake na kuanza kujibizana huku akipokea maneno ya karaha bila kutegemea mazungumzo hayo yalimtia hasira Pamela ambaye alimuuliza kwa hasira mumewe huku akitaka kujua kuna nini kati yake na huyo Salima.


Pamela Said na mumewe Alex wakati wa harusi yao.
Ilielezwa kuwa kitendo hicho cha mke kutaka kujua ukweli ndipo mumewe akaanza kutoa maneno akidai kwamba atamuonesha kazi ambapo alichukua mchi wa kinu na kuanza kumpiga nao maeneo ya usoni na mikononi hadi Pamela akapoteza fahamu.
Ilisemekana kuwa kelele za kipigo hicho kiliwashtua majirani ambao walisogea kwenye nyumba hiyo ili kujua nini kinaendelea na kumkuta Pamela akiwa amezimia jambo lililowafanya kutafuta msaada wa kumpeleka hospitali ili kuokoa maisha yake.

MACHINGA WATAKA KUANDAMANA MDA HUU MWENGE WAKIPINGA MEZA ZAO KUONDOLEWA BAADA YA KITUO CHA MABASI MWENGE KUFUNGWA


 Abiria wakiwa wanashangaa Daladala zinapita Mwenge Bila kusimama
 Daladala zikiwa zinapita bila kusimama sehemu yoyote
 Kituo cha kwenda Tegeta , Kawe na Mbezi kikiwa Kitupu Muda huu
 Kituo cha Mabasi Mwenye Cheupe hakuna hata Daladala hata moja
 Bajaji ndizo zimegeuka kuwa daladala na ni Tsh 1000 tu kwa mtu mmoja mpaka Mwenge
 Eneo ambalo Daladala zilikuwa nyingi sasa hakuna tena mabasi hayo

 Bajaji zikiendelea na Kazi
 Upande wa Mwenge kwenda Morocco Pia hakuna mabasi hayasimami
 Hali ya utulivu Mwenge
 Peupe hakuna Mabasi
 Abiria wakingoja Magari
 Wafanya Biashara Wadogo wadogo wakiwa wanajikusanya kwa ajili ya kujadili jinsi ya kuanza Mgomo na kushinikiza waanze kuweka meza zao pia hawataki ushuru
 Wafanya Biashara wakiwa wanaendelea kukusanyika ili kuandaa Mgomo wao
 Kushoto ni Meza moja ya Biashara ikiwa imeinuliwa ishara ya kuweka Meza na Kuanza Mgomo rasmi na kushinikiza kuwa waanze Biashara zao hapo kama kawaida na kutotaka ushuru wa kulipia pesa nyingi.

Endelea Kufuatilia hapa... Mpaka tunaondoka eneo la tukio Polisi walikuwa wamesha wasili kwa kuanza Doria  na kuangalia usalama.

WATU WANAENDELEAKULA URODA TU WA MAUNO HAPA JIJINI,, .


 
















RAIS KIKWETE NA DIAMOND USO KWA USO, MANHATTAN, NEW YORK JIONEE HAPA



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete masaa machache yaliyopita alipokutana na msanii wa muziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz, Manhattan, katika jiji la New York.