Jumapili, 11 Mei 2014

LALLANA KUCHEZA UEFA MSIMU UJAO NA LIVERPOOL

LALLANA KUSHEREKEA KUITWA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND KWA KUSAINI MKATABA LIVERPOOL

On the move: Adam Lallana is hoping to seal a £20m move to Liverpool as early as next week

Southampton  wanaamini bei waliyotaja ni haki kwasababu mchezaji huyo amekulia katika akademi yao na wanatamani kukamilisha dili hilo kabla ya mchezaji huyo kujiunga na kikosi cha Hodgson kitakachoweka kambi nchini Ureno kuanzia mei 19.

Hodgson kesho jumatatu atataja kikosi chake cha wachezaji  23 na wengine 7 wa ziada kwa ajili ya kombe la dunia mwezi ujao nchini Brazil na Lallana ni miongi mwa viungo watakaojumuishwa.

Man with the plan: Brendan Rodgers (right) is preparing to launch a spending spree this summer
In: Lallana looks a certainty for Roy Hodgson's 2014 World Cup squad which is selected on Monday
Kutokana na idadi nzuri ya magoli ya kufunga na kufungwa, , Kikosi cha Manuel Pellegrini kinahitaji pointi moja tu leo ili kutwaa ubingwa wa pili ndani ya misimu mitatu.

Liverpool wanawaombea Man City wapoteze mechi na wao washinde iki kuweza kuchukua ubingwa.

Kumsajili Lallana ni moja ya utekelezaji wa mpango wa kuimarisha kikosi cha Liverpool kuelekea msimu ujao wa ligi kuu na michuano ya UEFA.

 Mmiliki wa Liverpool, John W Henry amemuahidi paundi milioni 60, Brendan Rodgers kwa ajili ya usajili jumlisha pesa atakazopata katika mauzo ya wachezaji.

INIESTA NAE AFUNGUKA KUHUSU MORTINO: MARTINO NI KOCHA BORA ANAYEIFAA BARCELONA


397010_heroaANDRES Iniesta anaamni Gerardo Martino ndiye kocha bora anayeifaa Barcelona kwasasa licha ya kuwepo tetesi kuwa ataondoka majira ya kingazi mwaka huu.
Kocha wa Celta, Luis Enrique anaripotiwa kumrithi Martino aliyerithi mikoba ya marehemu Tito Vilanova msimu uliopita.
Kutolewa hatua ya robo fainali ya UEFA, kupigwa na Real Madrid katika fainali ya Copa del Rey na kushindwa kuongoza La Liga kumemuweka kitimoto Martino, lakini Iniesta amemtetea kuwa anajua kufundisha.
“Kwa upande wangu, kocha tuliyenaye kwasasa ndiye bora,” Iniesta aliwaambia Diario Ole. “Pia nitafurahi sana kuona anakaa kwa muda mefu zaidi na kuonesha uwezo wake wote”.
“Msimu wa kwanza ni mgumu kwa kila mtu. Nimeona akiwa na nia na mipango mizuri. Siku zote anatuamini”.
‘Wakati fulani mambo hayaendi kama unavyotaka, lakini unatakiwa kujaribu. Ulimwengu wa Barcelona ni mgumu sana, sio kwake tu, hata sisi wachezaji”.
“Tumeshindwa kufanya vizuri katika nyakati muhimu. Wakati fulani mambo yanakwend vibaya”.
“Sio kwamba unataka hivyo, ni kwasababu wakati mwingine inatokea. Unatakiwa kufanya mabadiliko bila kujali unashinda mataji au hushindi”.
Barca watasafiri kesho kuwafuata Elche katika mchezo wa La Liga na kushinda kutawapa nguvu kubwa ya kutwaa ubingwa mbele ya wapinzani wao, Atletico Madrid.

HAPANA CHEZEA! MAN CITY WAINYUKA 2-0 WEST HAM NA KUTWAA UBINGWA EPL..LIVERPOO L UKAME WA BILA KOMBE WAFIKIA MIAKA 25


On target: Samir Nasri opened the scoring for Manchester City just six minutes before the interval
KLABU ya Manchester City imefanikiwa kutwaa ubingwa wa ligi kuu soka nchini England baada ya kufanikiwa kuwafunga West Ham mabao 2-0 katika uwanja wa nyumbani wa Etihad.
Wanaume wa Manuel Pellegrini walijua wazi kuwa ushindi katika mechi hiyo utawapatia ubingwa wa pili ndani ya misimu mitatu bila kujali matokeo ya Liverpool dhidi ya Newcastle.
 Samir Nasri alikuwa wa kwanza kuifungia Man City bao la kuongoza katika dakika ya 6` tu ya mchezo huo uliovuta hisia za mashabiki wengi wa soka duniani.
Bao la pili la Man City lilifungwa dakika ya 49` kupitia kwa nahodha wake Vicent Kompany na kuihakikishia  City ubingwa wa EPL.
Liverpool walitoka nyuma kwa bao 1-0 na kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Newcastle, lakini ushindi wa Man City umewafanya washindwe kukata kiu ya kutotwaa ubingwa kwa miaka 24, sasa imefikia 25.
We've done it: Vincent Kompany is mobbed after scoring his side's second goal to secure the Premier League
Party time: Vincent Kompany sends the Etihad crowd wild after scoring Manchester City's second of the day
Blue is the colour: Samir Nasri celebrates with Pablo Zabaleta as Manchester City win the title
Challenge: Andy Carroll attempts  to snatch the ball off Manchester City captain Vincent Kompany
Battle: Joe Hart jumps highest to collect the ball under a challenge from West Ham's Kevin Nolan

Rousing reception: Manchester City fans welcome their team on to the pitch for their clash against West Ham
Kikosi cha Man City leo: Jart, Zabaleta, Kolarov, Toure, Kompany, Demichelis, Silva (Milner, 76), Garcia, Dzeko (Fernandinho, 69), Aguero, Nasri.
Kikosi cha West Ham: Adrian, O’Brien, McCartney, Taylor, Tomkins, Reid, Downing, Noble, Carrol (Cole, 72), Nolan (Jarvis, 64), Diane (Cole, 81) .
Mwamuzi: Martin Atkinson. MATOKEO YA MECHI ZOTE EPL

Standings ENGLAND: Premier League
17:00 Finished Cardiff 1 - 2 Chelsea


17:00 Finished Fulham 2 - 2 Crystal Palace


17:00 Finished Hull City 0 - 2 Everton


17:00 Finished Liverpool 2 - 1 Newcastle Utd 


17:00 Finished Manchester City 2 - 0 West Ham


17:00 Finished Norwich 0 - 2 Arsenal


17:00 Finished Southampton 1 - 1 Manchester United


17:00 Finished Sunderland 1 - 3 Swansea


17:00 Finished Tottenham 3 - 0 Aston Villa


17:00 Finished West Brom 1 - 2 Stoke City

WAFUNGAJI WA EPL

Barclays Premier League | GOAL SCORERS

Player Team Goals
Luis Suarez Liverpool 31
Daniel Sturridge Liverpool 21
Gnegneri Yaya Touré Manchester City 20
Sergio Agüero Manchester City 17
Wayne Rooney Manchester United 17
Edin Dzeko Manchester City 16
Olivier Giroud Arsenal 16
Wilfried Bony Swansea City 16
Jay Rodriguez Southampton 15
Romelu Lukaku Everton 15
Eden Hazard Chelsea 14
Loïc Remy Newcastle United 14
Rickie Lambert Southampton 13
Steven Gerrard Liverpool 13
Robin van Persie Manchester United 12
Emmanuel Adebayor Tottenham Hotspur 11
Aaron Ramsey Arsenal 10
Christian Benteke Aston Villa 10
Adam Lallana Southampton 9
Álvaro Negredo Manchester City 9
Danny Welbeck Manchester United 9
Raheem Sterling Liverpool 9
Samuel Eto’o Chelsea 9
Adam Johnson Sunderland 8
André Schürrle Chelsea 8
Total
1004
HUU NDIO MSIMAMO WA LIGI KUU BAADA YA KUMALIZIKA LEO
English Barclays Premier League | LOGS
Pos Team P W D L GF GA GD Pts
1 Manchester City 38 27 5 6 102 37 65 86
2 Liverpool 38 26 6 6 101 50 51 84
3 Chelsea 38 25 7 6 71 27 44 82
4 Arsenal 38 24 7 7 68 41 27 79
5 Everton 38 21 9 8 61 39 22 72
6 Tottenham Hotspur 38 21 6 11 55 51 4 69
7 Manchester United 38 19 7 12 64 43 21 64
8 Southampton 38 15 11 12 54 46 8 56
9 Stoke City 38 13 11 14 45 52 -7 50
10 Newcastle United 38 15 4 19 43 59 -16 49
11 Crystal Palace 38 13 6 19 33 48 -15 45
12 Swansea City 38 11 9 18 54 54 0 42
13 West Ham United 38 11 7 20 40 51 -11 40
14 Sunderland 38 10 8 20 41 60 -19 38
15 Aston Villa 38 10 8 20 39 61 -22 38
16 Hull City 38 10 7 21 38 53 -15 37
17 West Bromwich Albion 38 7 15 16 43 59 -16 36
18 Norwich City 38 8 9 21 28 62 -34 33
19 Fulham 38 9 5 24 40 85 -45 32
20 Cardiff City 38 7 9 22 32 74 -42 30

NYINGINE KALI KUTOKA KENYA, Hii ndiyo comedy ya mapenzi iliyofungiwa huko Kenya.


1
“House of Lungula” ni comedy ya kwanza ya mapenzi inaonyesha maisha halisi ya kimapenzi ya jamii za watu wa Africa hasa wa Kenya, movie hii ni ya comedy iliyoruhusiwa kuangaliwa na watu wazima tu, kutokana na mambo yanayotendeka ndani ya filamu hiyo, waigizaji maarufu wengi ambao hukutegemea kuwepo wamehuika humo ndani. Baada ya kupewa airtime kwa muda mfupi sana kwenye televisheni mbali mbali za huko nchini Kenya, Filamu hiyo imefungiwa sasa kuonyeshwa kutokana na movie hiyo kupitiliza maadili yanayostahili hata baada ya kupitishwa na bodi ya filamu, inasemekana kuwa hata jina la filamu hiyo maana yake tu ya neno hilo “Lungula” ni la kiutu uzima tosha.
House-oflungula
“Recent example is the unofficial ban of the comedy’s TV commercial from by leading Kenyan broadcaster, which earlier this year has also canceled the cast’s appearance on a prominent talk show because the name of the film is not decent for their audience!,” alisema producer wa movie hiyo. Hii ndiyo kipande cha filamu hiyo.



WAWEZA KUIPLAY >>HAPA<< 

Mwilli wa mtu waokotwa mto Mzinga,Kongowe jijini Dar



Mwili wa mtu huyo ukielea kwenye maji ya mto Mzinga.




Mwili baada ya kutolewa nje kabla ya kuzikwa na jiji.

Mwili wa mtu mmoja ambaye hakufahamika jina lake umenaswa ukielea ndani ya Mto Mzinga maeneo ya Kongowe jijini Dar es Salaam.....
 
Mwili wa mtu huyo ulipatikana baada ya wakazi wa eneo hilo kudai kuwa harufu kali ilikuwa ikitoka eneo hilo na ndipo waligundua maiti hiyo ambayo waliikuta ikiwa imeharibika kwa kiasi kikubwa.