Ijumaa, 6 Juni 2014

PICHA: BONGE LA MFUNIKO AISE, HEBU ONA CHRIS BROWN ALIVYOFANYA KUFURU AKISHEREKEA KUACHIWA KIFUNGONI. NI SHIDAA FULL KUPIGANA MADENDA NA MADEMU LOOOH!


Bpa1ufXIIAAHdoG.jpg (500×500)


 

 
Hii ni noma anasherekea baada ya kumaliza kifungo chake cha takribani miezi minne.Angalia anavyojirusha na wana hapa yaani ni bonge la shangwe.Chris aliachiwa alitoka jela mwezi huu tarehe 2.

Official: Roma sign Keita

Official: Roma sign Keita

The Mali international has joined the Italian capital club on a one-year deal just five months after moving to Valencia from Chinese side Dalian Aerbin
Roma have announced the signing of former Barcelona star Seydou Keita on a one-year deal.

The 34-year-old, who has 88 international caps for Mali, spent the last five months with Valencia in La Liga after moving from Chinese team Dalian Aerbin.

During his time with Los Che he made 11 league appearances, scoring one goal - the club's fastest ever in a match, coming after just nine seconds against Almeria.

Keita spent four years at Barcelona between 2008 and 2012, making 119 league appearances and scoring 16 goals, before joining Dalian Aerbin.

The midfielder started his career with Olympique de Marseille in Ligue 1 before moving on to Lorient and Racing Club de Lens, where he played over 200 times before joining Sevilla. After one season in Andalusia, he was transfered to Barca for an estimated €14 million.

Brazil 1-0 Serbia: Fred fires Selecao to victory

Fred Brazil Serbia Friendlies 06062014

The striker finished with aplomb in the 58th minute, after controlling a long ball forward from Thiago Silva

 
Mowa Press
Fred scored the only goal of the game as Brazil completed their World Cup preparations with a hard-fought 1-0 win over Serbia.

The Selecao were struggling to break down their European opponents when, in the 58th minute, the forward expertly controlled a long ball forward from Thiago Silva before prodding home.

Brazil had chances to add to their tally but were ultimately forced to settle for a narrow win.

Having not been tested by Panama in midweek, the World Cup hosts were at full-strength for the clash against Ljubinko Drulovic's side.

They were restrained for large spells, however, and coach Luiz Felipe Scolari will be aware improvement is required despite Fred's well-taken winner.

Brazil's victory may do little to fill an expectant nation with great confidence. However, with Neymar getting almost 80 minutes of action on his road to full fitness and Fred scoring his first in Brazil colours since the Confederations Cup, there are reasons for the hosts to be optimistic.

After a lively opening from both sides, Aleksandar Kolarov threatened first when he struck an effort wide of Julio Cesar's left-hand post after nine minutes.

Neymar then almost benefited from a block that fortuitously landed in his path - only for Ivanovic to produce a well-timed last-ditch tackle.

A combination of tenacious and robust defending helped keep Brazil's forwards well shackled, although Fred was next to threaten - his dipping strike veering off target 24 minutes in.

David Luiz was forced into a hurried clearance following Kolarov's fierce delivery before Aleksandar Mitrovic wasted the best chance of the half, heading wide with the goal at his mercy.

Luiz and Thiago Silva, who will team up at Paris Saint-Germain from next season, then got mixed up close to half-time, but an offside flag rescued Brazil as Lazar Markovic converted.

Scolari swapped Oscar for Willian at the break, presumably in an effort to shake things up, but Brazil still looked somewhat out of sorts.

Indeed, Dusan Tadic perhaps could have opened the scoring for Serbia had he gambled on reaching a cross lofted into the hosts' box.

Fred subsequently ensured first blood went to Brazil, the striker cleverly chesting Thiago Silva's delivery to take Branislav Ivanovic out of the game and then prodding the ball past Vladimir Stojkovic - despite having stumbled before doing so.

Neymar, lively but far from his dangerous best, then flashed an effort over the crossbar as his side sought to make the scoreline more emphatic.

There were to be no more goals, although Serbia's Milos Jojic and Brazil forward Jo hit the woodwork in the closing stages.

Brazil open their World Cup campaign against Croatia on June 12 and will be hopeful of a more fluent display.

Toni Kroos: Reus' injury didn't look good


Toni Kroos: Reus' injury didn't look good

The Borussia Dortmund star was clearly in pain after twisting his left ankle and the Bayern midfielder admitted his team-mate looked to be in distress
Germany are sweating on the fitness of Marco Reus after the attacker was forced off injured in Friday night's friendly against Armenia, with team-mate Toni Kroos admitted that the injury 'didn't look good'.

The Borussia Dortmund attacker had to be helped from the field by medics after suffering an apparent ankle injury just a minute before the end of the first half of the game in Mainz.

Reus had been left screaming on the ground in agony following a heavy challenge from Armenia midfielder Artur Yedigaryan, and Kroos stressed his concern.

He stated to ZDF, "It didn't look good at first glance. I hope he will be fit and ready because we need him."

Coach Joachim Low confirmed that Reus is to be assessed by doctors, adding: "He's in the hospital, undergoing a MRI-scan. We have to wait for the results.

"In such a situation you have many thoughts running through your head. During half-time we saw that his foot had swollen. I hope that he hasn't suffered a ligament injury and everything is okay."

The 25-year-old had been considered a certain starter for his country's World Cup opener against Portugal on June 16.

WAKATI ANASUBIRI TUZO ZA MTV, DIAMOND AMEWEKA REKODI NYINGINE TWITTER, SOMA HAPA

Diamond Platinumz ambaye yuko Durban Afrika Kusini akijiandaa na tuzo MTV,

ameongeza sababu nyingine ya kutabasamu baada ya akaunti yake ya Twitter kuwa Verified. Mkali huyo mwenye Followers Zaidi ya 34, 000 ametambuliwa na Twitter kuwa mmiliki pekee/halali wa akaunti yake.
“Thank you Twitter.” Diamond ameandika.

PICHA ZA VICHEKESHO ZA DIAMOND NA DAVIDO MTV HIZI HAPA









Tanzania's MTV MAMA nominee Diamond Platnumz on set with Nigeria's Nominee Davido shooting a hilarious skit for #mtvmama in Durban.

OMMY DIMPOZ AKARIBIA KUFULIA KWA HAYA.

 
 
 
UNAPOTAKA kutaja majina ya vijana chipukizi, ambao sasa wanaogelea katika bahari ya ustaa , basi huwezi kuliweka mbali jina la Ommy Dimpoz , mkali wa vibao vikali vya Baadaye na Tupogo. Hizi ngoma mbili zimekimbiza sana na nadhani ndizo zinazompa shoo nyingi , ndani na nje ya nchi , ingawa pia hivi karibuni aliingiza mtaani kazi yake nyingine inayokwenda kwa jina la Ndagushima. Katika vitu huwa napenda , basi ni kujaribu kuwa mkweli kwa kadiri ninavyoweza. Mimi ni shabiki mkubwa wa nyimbo hizi mbili, ninazipenda sana kuzisikiliza ingawa sidhani kama zina ujumbe wa viwango hivyo .

Ni kazi za kiburudani zaidi , hasa unapokuwa umetoka kwenye kazi ngumu ya kufikirisha ubongo kama hizi zetu. Staili yake ya muziki imemfanya kuwa kipenzi kikubwa kwa mashabiki na ukichanganya na ubitozi wake , basi siyo jambo la ajabu kuona kwamba kwa muda mfupi tu tangu amepata jina kimuziki, amepata shoo nyingi nje ya nchi , kiasi cha kumfanya awe miongoni mwa mastaa wanaoingiza mkwanja wa kutosha , kama shoo za nje zinaweza kuwa kigezo cha kupata zaidi . Sijawahi kukaa na huyu bwana mdogo hata siku moja katika ile hali ya kubadilishana mawazo, hivyo sitatenda haki kama nitajaribu kumhukumu kwa mambo ambayo sina uhakika nayo , ingawa baadhi ya matendo mbele ya watu yanaweza kusaidia kutafsiri tabia ya mtu!



Jumapili iliyopita, Juni 1, 2014 dogo alikuwa miongoni mwa wasanii waliohudhuria shoo kubwa ya uzinduzi wa kituo kimoja cha redio jijini Dar es Salaam uliofanyika katika Viwanja vya Mwembeyanga. Wasanii wengi walikuwepo na walifanya vizuri kwa kweli . Tatizo langu lilikuwa moja tu , kwa huyu chipukizi ambaye kama ataendelea kukaza buti kama hivi , basi haina shaka kwamba anaweza kuwa mojawapo ya alama za muziki wa kizazi kipya katika ulimwengu wa burudani . Wakati akipanda jukwaani , mashabiki kwa mamia , hawakuwa wamechangamka kama alivyotegemea na ili kuwaamsha, alivua kofia yake na kuwatupia .

Baada ya hapo akawatupia pia miwani. Hivi ni vitu vya kawaida kufanywa na mastaa wakubwa, inawafanya mashabiki kutambua jinsi gani mtu wao anavyowathamini . Na siyo wasanii wa muziki tu ambao hufanya hivi , wanasoka , wacheza tenisi, mabondia, madereva wa magari, wanariadha na wanamichezo wengine , huwarushia jezi , kofia na vitu vidogovidogo mashabiki wao . Ommy Dimpoz alifanya zaidi . Baada ya kutupa vitu hivyo na kukuta mashabiki wakiwa bado hawajapanda mzuka, alitoa shilingi elfu hamsini na kuwarushia.

Pata picha ya patashika iliyotokea kwa mashabiki. Unajua alichokisema ? “Sisi wasanii tunapata fedha nyingi kutoka kwenu nyinyi mashabiki wetu, kuonyesha kuwajali , naomba niwarudishie.” Hiyo tisa , kumi, Dimpoz alizama tena ‘ chimbo ’ na kuibuka na kiasi cha kama laki mbili hivi na kuwarushia tena watu waliojazana mbele yake ! Dah, sawa , wasanii wanapaswa kurudisha sehemu ya mapato yao kwa jamii, lakini sidhani kama ni kwa staili hii . Binafsi naona kama huu ni ushamba fulani hivi ! Mtu smati kichwani hawezi kutupa hela kwenye umati wa watu , tena wa uswahilini kama wa kule Temeke , unataka nini?

Naamini kabisa akitokea mtu hata kwenye kumbi ambazo tunajua zina watu wa afadhali , wenye uwezo wa kutoa kiingilio cha shilingi laki moja kama pale Mlimani City, bado akiibuka ‘ mtu wa mawe ’ na kurusha mahela itakuwa mshikemshike , sembuse Mwembeyanga? Zipo namna za kurudisha hela kwa jamii yako , siyo kwa wasanii tu , bali hata wafanyabiashara, kama wanavyofanya baadhi yao kama Dr . Reginald Mengi na Mzee Mustafa Sabodo.

Tafuta sehemu yenye shida ya maji , chimba kisima , angalia wenye shida ya huduma za afya, jenga zahanati au nenda katika vituo vya watoto yatima wape nguo , madaftari au hata kula nao chakula . Jamii yetu ina maskini wengi , kuwatupia hela kama vile huwasaidii , bali utawaumiza kwa sababu wataishia kugombana, kutoana ngeu na mwisho wa siku hakuna atakayeondoka na pesa kwa sababu zote zitachanika katika purukushani . Naamini kwa nilichokisema , Dimpoz atakuwa amenielewa. Source: Globe

H Baba alazwa Muhimbili baada ya kuugua Dengue




Mwimbaji wa bongo Flava, H Baba amelazwa hostpitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya madaktari kugundua kuwa ana ugonjwa wa dengue ambao umeshawauguza watu mbalimbali.
 
H Baba alipelekwa hospitalini hapo jana usiku, na inaelezwa kuwa alianza kujisikia anaumwa tangu Jumatano (June 5), wakati anajiandaa kwenda kuuaga mwili wa marehemu George Tyson aliyefariki kwa ajali ya gari.
 
“Dengue, Muhimbili now saa nane hii, usiku hali ilikuwa mbaya zaidi imebidi tuletwe Muhimbili Hospital.amegundulika ni dengue. thanx to god anaendelea vizuri and that is the last drip.asante my manager Yahya for your greatest help.mungu akuzidishie.asanteni pia my fans kwa maombi yenu.” Amesema mke wa H Baba, Flora Mvungi.

MASKINI WAaandamanA BraziI






Maelfu waandamana kupinga kombe la dunia
Maelfu ya wenyeji wasio na makao mjini Sao Paolo waliandamana nje ya uwanja utakaoandaa mechi ya kwanza ya kombe la dunia alhamisi ijayo wakipinga gharama ya juu ya mashindano hayo.
Maandamano hayo yaliwadia siku moja tu baada ya rais wa Brazil Dilma Rousseff kuwahakikishia wageni na mashabiki wa kandanda kuwa kamwe hatoruhusu maandamano yatie doa kwenye kipute hicho cha kombe la dunia.


Maelfu waandamana kupinga kombe la dunia

Zaidi ya watu milioni moja waliandamana katika barabara za miji yote ya Brazil wakishinikiza serikali kupunguza ubadhirifu wa fedha na kupunguza matumizi yake kwa maandalizi ya kombe la dunia na yale ya Olimpiki yatakayofanyika mjini Rio mwaka wa 2016.Takriban waandamanaji 10,000 waliziba barabara zote mjini Sao Paolo wakiishinikiza serikali ya bi Rousseff iwekeze katika sekta ya afya elimu na ipunguze gharama ya juu ya usafiri wa umma.


10,000 Waandamana kupinga Kombe la Dunia
Licha ya hakikisho la rais Rousseff wafanyikazi wa reli walitishia kuanza mgomo upya huku polisi wa trafiki mjini Sao Paolo pia wakitishia kuanza mgomo Alhamisi.
Mapema wiki hii serikali iliwaongezea polisi wote mshahara ilikuzuia mgomo uliotishia kuporomosha hali ya utengamano huku fainali ya kombe la dunia likinukia.
Serikali imeahidi kutumia polisi na hata jeshi la taifa kudumisha amani na utengamano wakati wa kombe la dunia.