Ijumaa, 6 Juni 2014

PICHA: BONGE LA MFUNIKO AISE, HEBU ONA CHRIS BROWN ALIVYOFANYA KUFURU AKISHEREKEA KUACHIWA KIFUNGONI. NI SHIDAA FULL KUPIGANA MADENDA NA MADEMU LOOOH!


Bpa1ufXIIAAHdoG.jpg (500×500)


 

 
Hii ni noma anasherekea baada ya kumaliza kifungo chake cha takribani miezi minne.Angalia anavyojirusha na wana hapa yaani ni bonge la shangwe.Chris aliachiwa alitoka jela mwezi huu tarehe 2.

0 comments:

Chapisha Maoni