Ijumaa, 23 Mei 2014

Kuhusu Samuel Eto’o, Lampard, Cole na Mtanzania Nditi kuachwa na Chelsea


Screen Shot 2014-05-23 at 11.00.06 PM
May 23 2014 inaingia kwenye historia hata kwa Watanzania wenyewe manake kuona mkali wetu ameachwa kwenye kikosi cha Chelsea msimu ujao sio habari njema.

Kwa mujibu wa tovuti ya Premier League, Frank Lampard Ashley Cole na Samuel Eto’o inasemekana wameachwa kwa sababu mikataba yao na Chelsea imemalizika ambapo pia mtanzania Adam Nditi nae ameingia kwenye list ya wachezaji walioachwa na club hiyo.

Screen Shot 2014-05-23 at 10.53.51 PM

0 comments:

Chapisha Maoni