Alhamisi, 5 Juni 2014

HAYA NDIO YALIOJIRI SAKINA ARUSHA HII LEO.


http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2014/06/CHA11.jpg
Mmiliki wa Nyumba aliyokutwa Nyoka mkubwa na kuuwawa na wananchi wa sakina leo



 
Hii ndiyo nyumba yake
 

 CHA3

http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2014/06/CHA4.jpg 
Kwa mujibu wa Arusha yetu Blog wanasema kuwa nyoka huyo aliuwawa na wananchi ambaye alionekana maeneo ya  Mgodini Sakina Arusha na akiwa amefungwa kitambaa chenye maaandishi mekundu. Wakazi wa eneo la Sakina wamepatwa na mshtuko mkubwa Kikubwa zaidi kwa nyoka huyo ni kuwa inasemekana alitokea ndani.

Mara baada ya kuonekana kwa nyoka huyo wananchi walijipanga kisha wakafanikiwa kumuua ingawa kulitokea utata baada ya Mama mwenye nyumba aliyetokea nyoka huyo akipinga kutokuuliwa kwa nyoka huyo nyoka huyo aliuwawa kisha akakatwa vipande vipande.

0 comments:

Chapisha Maoni