Alhamisi, 5 Juni 2014

Rais Kikwete akutana na mjumbe maalumu wa Rais wa Afrika Kusini leo Ikulu Dar es Salaam


Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Mjumbe Maalumu wa Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Mama Maite Nkoana-Mashabane Ikulu jijini Dar es Salaam leo Juni 5, 2014.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernad Membe alikuwepo pia.
 
 (PICHA NA IKULU)

0 comments:

Chapisha Maoni