Jumamosi, 26 Aprili 2014

WACHEZAJI WA BARCELONA WAKITOA HESHIMA ZAO ZA MWISHO KWA TITO VILANOVA; BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE

395632_heroa
WACHEZAJI wa Barcelona wametembelea eneo maalum lililoandaliwa na klabu kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho kwa aliyewahi kuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Tito Vilanova aliyefariki jana ijumaa. Vilanova aliyekuwa kocha msaidizi wa Pep Guardiola kabla ya kuwa kocha mkuu amefariki akiwa na miaka 45 kutokana na maradhi ya saratani ya koo. Baada ya kurithi mikoba ya Guardiola msimu wa 2012/2013, Vilanova aliiongoza Barcelona kutwaa ubingwa wa La Liga kwa pointi 100 na kuweka rekodi. Hata hivyo kazi yake nzuri iliingiliwa na maradhi na kulazimika kujiuzulu mwezi julai mwaka jana. Klabu ilithibitsha jana kuwa Vilanova amefariki na leo hii wachezaji na makocha wakiwa wageni wa kwanza, wametembelea eneo maalum liliotengwa kwa shughuli ya kutoa heshima za mwisho kwa Tito.
Tragic: Victor Valdes, Xavi and Carles Puyol are visibly upset as they pay tribute to Tito Vilanova
Tragic: Victor Valdes, Xavi and Carles Puyol are visibly upset as they pay tribute to Tito Vilanova

Sudden: Barcelona's former boss passed away on Friday after losing a battle with throat cancer
Sudden: Barcelona's former boss passed away on Friday after losing a battle with throat cancer

Dedication: Members of staff, including Tata Martino conducted a moments silence for Vilanova
Dedication: Members of staff, including Tata Martino conducted a moments silence for Vilanova

0 comments:

Chapisha Maoni