Ijumaa, 15 Agosti 2014

TANZANIA YAPOROMOKA VIWANGO VYA FIFA: YAPITWA NA RWANDA, KENYA, LESOTHO NA MOZAMBIQUE NI AIBU !!



SHIRIKISHO la Soka la Dunia (Fifa) limetangaza viwango vipya vya ubora wa soka duniani kwa Agosti, 2014 huku Tanzania ikiporomoka kwa nafasi nne kutoka 106 hadi 110.
Katika orodha hiyo iliyotolewa leo Agosti 14, 2014 Ujerumani ndiyo vinara wakifuatiwa na Argentina, Uholanzi, Colombia, Ubelgiji, Uruguay, Hispania, Brazil, Switzerland na Ufaransa.

0 comments:

Chapisha Maoni