Jumatano, 7 Mei 2014

UZINZI:Vai wa Ukweli ameshindikana.....Afumwa akifanya mambo ya aibu mbele ya wanaume, Hii ni mara ya sita kushiriki matendo ya uzinzi

Ukiwa  umepita  mwezi  mmoja  tangu msanii  wa  Tasnia  ya  Filamu  anayejulikana  kwa  jina  la  Isabella  Francis  'Vai  wa  Ukweli'  kuripotiwa  kujiuza, sasa  msanii  huyo  amekumbwa  na  kashfa  nyingine  ya  kupiga  picha  za  uchi  zikimuonesha  akivua  nguo  mbele ...

KAMERA YETU IMEFUMANIA PICHA MPYA ZA "MANAIKI SANGA" AKIENDELEZA URODA NA MADADA WA MJINI.. KUWENI MAKINI SANA NYIE MABINTI

  Mchukua Matukio Amenasa Picha Hizi Maeneo Fulani.. Manaiki akiendeleza Gurudumu lake la Kutembea na Madem Lukuki.. Manaiki anakaribia kuweka Recodi ya kutembea na Madem wengi zaidi hapa Town.. Angalizo ni kwamba Kuweni makini sana.. ...

UGONJWA UNASAMBAA KWA KASI JIJINI DAR:HOMA YA DENGUE NI NINI?   Homa ya Dengue ni ugonjwa unaoenezwa kwa kuumwa na mbu aina ya Aedes mwenye virus vya ugonjwa huu. Mbu hupata virusi vya homa ya Dengue anapomuuma mtu mwenye ugonjwa huu. Ugonjwa huu unaenezwa kutoka mtu mmoja kwenda mwingine kwa kuumwa na mbu huyu. DALILI:Homa kali ya ghaflaKuumwa kichwa hususani sehemu za machoniMaumivu makali ya viungo na misuli ya mwiliKichefuchefu...

HATARI SANA, WANAFUNIKA NYWELE LAKINI WANAFUNUA MATITI! Afrika kama tunavyoifahamu, ilikuwa ni sehemu ya Mila na Tamaduni bora kabisa, sehemu ambayo heshima adabu vilikuwa ni msingi wa jamii yake, hasa kwenye jamii. Ni sehemu ambayo masikini waliishi kwa mlo mmoja lakini bado waliheshimiana, kuvumiliana na kupendana. Ni sehemu ambayo binti angekutwa akifanya mambo ya aibu basi wazazi wake wangenyooshewa vidole kwa malezi mabaya...

BILA UPENDELEO, MABINTI TOKA MKOA GANI TANZANIA WANAONGOZA KUWA NA SURA NZURI?     Bila upendeleo, mabinti toka mkoa gani Tanzania wanaongoza kuwa na sura nzuri?  Kama Unajua Andika Mkoa huo kwenye Comment ...

CHUKUA STYLE YA KUSHONA KITENGE HAPA: Angalia Vazi la Kitenge linavyo watoa sex Mastaa wa Marekani kama Beyonce, Amber Rose, Kim kardashian, Elicia Key Ni vazi la kiafrika ambalo kwa sasa limeanza kushika kasi na kuteka baadhi ya mastar wa mbele kama Beyonce, Amber Rose, Kim kardashian, Elicia Key na wengine kibao, kutokana na fashion kuwa bora zaidi na kuvutiwa wengi uenda Afrika ikazidi kupata soko kubwa kutokana uhitaji...

ZIJUE TABIA 30 ZA MWANAMKE ANAYEWEZA KUKUFAA KATIKA MAISHA YAKO. Mwanamke ni mama mwenye nguvu unajua kwa nini kwa sababu mwanamke alitoka katika ubavu wa mwanaume baada ya Mungu kufanya yafuatayo kwa mwanaume A. Alimpa usingizi mwanaume B. Alimfanyia upasuaji C. Damu ilitoka kwa wingi kwa mwanaume D. Nyama ilitolewa kwa mwanaume E. Mfupa ulitolewa kwa mwanaume F. Baada ya kufanyiwa hivyo mwanaume ndipo mwanamke akaumbwa...

ZIJUE TABIA 30 ZA MWANAMKE ANAYEWEZA KUKUFAA KATIKA MAISHA YAKO. Mwanamke ni mama mwenye nguvu unajua kwa nini kwa sababu mwanamke alitoka katika ubavu wa mwanaume baada ya Mungu kufanya yafuatayo kwa mwanaume A. Alimpa usingizi mwanaume B. Alimfanyia upasuaji C. Damu ilitoka kwa wingi kwa mwanaume D. Nyama ilitolewa kwa mwanaume E. Mfupa ulitolewa kwa mwanaume F. Baada ya kufanyiwa hivyo mwanaume ndipo mwanamke akaumbwa...

Profesa J na Jose Chameleon waingia studio kufanya wimbo mpya Joseph Haule aka Profesa J na Jose Chameleone ni marafiki wa siku nyingi. Chameleone aliwahi kutumia beat ya wimbo wake ‘Nikusaidieje’ kurekodi wimbo aliomshrikisha mdogo wake Weasel, Bomboclat. Na sasa Jose hao wawili wamekutana kufanya wimbo wa pamoja. Proffesor Jay,Jose Chameleon ,Lamar na Villy wakiwa studio Kupitia Instagra, Profesa Jay ameandika:...

BASI LA MURO LAPATA AJALI NA KUJERUHI ABIRIA!!!! HABARI ZILIZOUFIKIA MTANDAO HUU HIVI PUMBE ZINASEMA KUWA BASI LA KAMPUNI YA MURO PRINCESS LILILOKUWA LIKITOKEA NJOMBE KWENDA JIJINI DAR LIMEPATA AJALI ENEO LA MIKUMI MOROGORO NA KUJERUHI WATU KADHAA. TAARIFA ZAIDI ZITAKUIJIA HIVI PUNDE!...