Jumatatu, 12 Mei 2014

FANYA MAMBO YAFUATAYO ILI UMRIDHISHE MPENZI WAKO;

Hapa nilipo niko nje ya bongo safari flani hv ya kizushi, na safari hiyo niko huku tangu mei mosi, saa bana ile nimefika tuu hotelini si mnajua mambo yetu yale, daaah nikanasa tundu bovu. Sass ile kufika ground play looh!!! Kila mtu kavaa jezi za game heee kumbe mwenzangu yeye mkulima wa bamia bana daah!! Nikataka kitoka nje ya ground play na kujisemea bora kukutana na mkulima wa mihogo kuliko bamia. Ila nataka kunyanyu mguu nitoke ulingoni ...

KWELI MZIKI UNALIPA TAZAMA P-SQUARE WAFANYA KUFURU:

HII SASA NI KUFURU!!! P-SQUARE WAWEKA SOFA {SAMANI} ZA DHAHABU NDANI YA NYUMBA YAO MPYA.... Hakuna ubishi kuwa, kwa hiki walichokifanya sasa, na kama macho yetu hayatudanganyi kwa hiki yanayokiona, mapacha hawa wamefanya kufuru. Kama hii inayoonekana ni dhahabu kweli, basi P-Square, hela wanayo.   Peter ameshare picha hizi nne ambazo wiki hii zitakuwa gumzo barani Afrika ambapo kwenye picha moja inayomuonesha...

ANGALIA HAPA MAKEKE YA LULU.

Mtoto kaanza makeke yake LULU Baada ya kutoka jela msanii wa maigizo Elizabeth Micha...

RIO FERDINAND `BAI BAI` MANCHESTER UNITED,

RIO FERDINAND `BAI BAI` MANCHESTER UNITED, ANYIMWA MKATABA MPYA  MAISHA ya Rio Ferdinand katika klabu ya  Manchester United yamefikia kikomo baada ya mkongwe huyo kupewa taarifa kuwa hataongezewa mkataba. Inafahamika kuwa mkurugenzi mkuu wa Old Trafford, Ed Woodward alimwaga mchele kwa Ferdinand mwenye miaka 35 kwenye chumba cha kubadilishia nguo siku ya jumapili katika mchezo wa sare 1-1 dhidi ya Southampton. Watu ...

JUA DIAMOND ANALIPWA SHILINGI NGAPI KWENYE TOUR ZAKE NJE YA NCHI.

HII NDIO JEURI YA DIAMOND AKIWA KAZINI, JUA MTONYO ANAOBEBA NA SPEND YAKE AKIWA TOUR ZA NJE. Waandaaji wa show nyingi wametokea kumlinganisha sana umaarufu wa Diamond na Davido bila kupata jibu kamili, na kama unadhani ni wasanii wa nje tu ndio wenye mahitaji makubwa katika kufanya show zao, kama ulikuwa hujui basi hii, ukijua unaweza ukae chini na uanze kufikiria upya mtazamo wako, na hii ndio sababu Diamond Platnumz atazidi kuwa si...

HATARI SANA, Mambo ya kanga moko haya

NDEMBENDEMBE HUUU!!1 KWA MTINDO HUU UNAWEZA UKIIBIWA MUME HIVI HI...

NYINGINE KALI KUTOKA KWA GOSBY FT OMMY DIMPOZ ANGALIA HAPA.

DOWLOAD HAPA! single mpya ya Gosby ft. Ommy Dimpoz ‘naogopa’ ...

KIMENUKA SASA; MASTAA WALIODHARIRISHWA NA MPOKI SIKU YA KUGAWA TUZO ZA KILI

KIMENUKA! Komediani aliyebahatika kuwa maarufu Bongo, Mujuni Silvery 'Mpoki' yuko njiani kupandishwa kizimbani kufuatia mastaa waliodai aliwadhalilisha usiku wa Tuzo za Kili kucharuka na kwenda kwa mwanasheria wao. Mujuni Silvery 'Mpoki'. Kwa mujibu wa chanzo makini, mastaa wanaodaiwa kutinga kwa mwanasheria na kuandikisha maelezo ni hawa wafuatao: Mkurugenzi wa Aset Club inayomiliki Bendi ya The African Stars ‘Twanga...

Naomi Campbell...AKAA UCHI LIVE.!

Naomi Campbell...AKAA UCHI LIVE.! UCHI: Kutovaa nguo za ndani za muumbua   Mwanamitindo  wa  kimataifa  wa  Marekani, Naomi  Campbell  mwishoni  mwa  wiki  jana  alikumbwa  na  tukio  la  aibu  baada  ya tatizo  lake  la  kusahau  kuvaa  chupi  kumsababishia  tatizo  kubwa  wakati  akishuka ...