
Hapa nilipo niko nje ya bongo safari
flani hv ya kizushi, na safari hiyo niko huku tangu mei mosi, saa bana
ile nimefika tuu hotelini si mnajua mambo yetu yale, daaah nikanasa
tundu bovu. Sass ile kufika ground play looh!!! Kila
mtu kavaa jezi za game heee kumbe mwenzangu yeye mkulima wa bamia bana
daah!! Nikataka kitoka nje ya ground play na kujisemea bora kukutana na
mkulima wa mihogo kuliko bamia. Ila nataka kunyanyu mguu nitoke ulingoni
...