Alhamisi, 31 Julai 2014

MAKOCHA WA FC BARCELONA WAWASILI KUTOA MAFUNZO KWA MAKOCHA WA TANZANIA

CASTLE Lager, bia inayoongoza barani Afrika na FC Barcelona, moja kati ya timu kubwa zaidi za soka duniani wameshirikiana kuleta makocha kutoka klabu hiyo yenye makao yake huko Camp Nou, Hispania ili kutoa mafunzo ya mbinu za soka kwa makocha wa Tanzania wiki hii. Makocha hao wa FC Barcelona ambao wataendesha mafunzo hayo wamefika jijini Dar es salaam leo (31/8/2014). Mafunzo hayo yatafanyika kwenye uwanja wa Karume jijini Dar es salaam...

BAHATI BUKUKU HIVI NDIVYO ALIVYOPATA AJALI

Gari alilopata nalo ajali mwimbaji wa nyimbo za Injili Bongo, Bahati Bukuku aina ya Toyota Nadia lenye namba za usajili IT 7945.NI kweli ajali haina kinga! Nyota wa nyimbo za Injili Bongo, Bahati Lusako Bukuku ameumia mgongo na maeneo kadhaa ya mwili (nusu kifo) kiasi cha kushindwa kukaa, kusimama wala kutembea kufuatia ajali mbaya ya gari iliyotokea kwenye eneo la Ranchi ya Narco wilayani Kongwa, Dodoma saa tisa usiku wa kuamkia...

KAMANDA KOVA AFICHUA SIRI YA MABENKI KUVAMIWA ASEMA,DHARAU ZA WAMILIKI WA BENKI NDIO TATIZO..SOMA ZAIDI HAPA

KAMISHINA WA POLISI KANDA MAALUM YA DARESALAAM SULEIMANI KOVA AKITOA UFAFANUZI JAMBO KWENYE MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI JIJIN DAR ES SALAAM,  JESHI LA POLISI KANDA MAALUM DAR ES SALAAM LIMEFICHUA SIRI YA KUONGEZEKA VITENDO VYA  UJAMBAZI KATIKA MABENKI MBALIMBALI HAPA NCHINI NA KUSEMA VITENDO HIVYO VINASABABISHWA NA WAMILIKI WA MABENKI HAYO KULIPUUZA JESHI LA POLISI,KAULI HIYO YA JESHI LA POLISI KANDA YA DAR ES SALAAM IMEKUJA  SIKU...