Jumatatu, 2 Juni 2014

MAJOGOO WA JIJI WAENDELEA KUWIKA, SASA WAPANDA DAU NA KUFIKIA PAUNDI MILIONI 25 KUINASA SAINI YA ADAM LALLANA

Ofa ya mwisho: Liverpool wameripotiwa kuweka ofa ya paundi milioni 25 kumnasa kiungo wa kimataifa wa England na Southampton,  Adam Lallana  Jaribio la pili: Wekundu wa Anfield awali waliweka ofa ya  paundi milioni 20, lakini walipigwa chini na Southampto. LIVERPOOL wameboresha ofa ya kumnasa kiungo wa Southampton, Adam Lallana na kufikia paundi milioni 25. Wakati huu mchezaji mwenzake Rickie Lambert...

MICHEPUKO KWELI NOMA, MUME AMPIGA MKEWE NUSURA KUUA...KISA KUTOKA NJE YA NDOA

Mke wa mtu aliyejitambulisha kwa jina la Pamela Said (30) amedai kupigwa mchi kichwani na mumewe wa ndoa aliyemtaja kwa jina moja la Alex kisa kikiwa ni simu aliyopigiwa mumewe na hawara’ke. Mke wa mtu anayefahamika kwa jina la Pamela Said (30) anayedai kupigwa mchi kichwani na mumewe wa ndoa aliyemtaja kwa jina moja la Alex. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri Mei 23, mwaka huu nyumbani kwa wanandoa hao, Mwembe-Supu,...

MACHINGA WATAKA KUANDAMANA MDA HUU MWENGE WAKIPINGA MEZA ZAO KUONDOLEWA BAADA YA KITUO CHA MABASI MWENGE KUFUNGWA

 Abiria wakiwa wanashangaa Daladala zinapita Mwenge Bila kusimama  Daladala zikiwa zinapita bila kusimama sehemu yoyote  Kituo cha kwenda Tegeta , Kawe na Mbezi kikiwa Kitupu Muda huu  Kituo cha Mabasi Mwenye Cheupe hakuna hata Daladala hata moja  Bajaji ndizo zimegeuka kuwa daladala na ni Tsh 1000 tu kwa mtu mmoja mpaka Mwenge  Eneo ambalo Daladala zilikuwa nyingi sasa hakuna tena mabasi hayo  Bajaji...

WATU WANAENDELEAKULA URODA TU WA MAUNO HAPA JIJINI,, .

  ...

RAIS KIKWETE NA DIAMOND USO KWA USO, MANHATTAN, NEW YORK JIONEE HAPA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete masaa machache yaliyopita alipokutana na msanii wa muziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz, Manhattan, katika jiji la New York. ...