Ofa
ya mwisho: Liverpool wameripotiwa kuweka ofa ya paundi milioni 25
kumnasa kiungo wa kimataifa wa England na Southampton, Adam Lallana
Jaribio la pili: Wekundu wa Anfield awali waliweka ofa ya paundi milioni 20, lakini walipigwa chini na Southampto.
LIVERPOOL wameboresha ofa ya kumnasa kiungo wa Southampton, Adam Lallana na kufikia paundi milioni 25.
Wakati
huu mchezaji mwenzake Rickie Lambert...