Hii ni noma anasherekea baada ya kumaliza kifungo chake cha takribani
miezi minne.Angalia anavyojirusha na wana hapa yaani ni bonge la
shangwe.Chris aliachiwa alitoka jela mwezi huu tarehe 2.
...
The Mali international has joined the Italian capital
club on a one-year deal just five months after moving to Valencia from
Chinese side Dalian Aerbin
Roma have announced the signing of former Barcelona star Seydou Keita on a one-year deal.The
34-year-old, who has 88 international caps for Mali, spent the last
five months with Valencia in La Liga after moving from Chinese team
Dalian Aerbin.During his time with Los Che he made 11 league...
The striker finished with aplomb in the 58th minute, after controlling a long ball forward from Thiago Silva
Mowa Press
Fred scored the only goal of the game as Brazil completed their World Cup preparations with a hard-fought 1-0 win over Serbia.The
Selecao were struggling to break down their European opponents when, in
the 58th minute, the forward expertly controlled a long ball forward
from Thiago Silva before prodding home.Brazil...
The Borussia Dortmund star was clearly in pain after
twisting his left ankle and the Bayern midfielder admitted his team-mate
looked to be in distress
Germany are sweating on the fitness of Marco Reus
after the attacker was forced off injured in Friday night's friendly
against Armenia, with team-mate Toni Kroos admitted that the injury
'didn't look good'.
The Borussia Dortmund attacker had to be
helped from the field by medics after...
Diamond Platinumz ambaye yuko Durban Afrika Kusini akijiandaa na tuzo MTV,ameongeza
sababu nyingine ya kutabasamu baada ya akaunti yake ya Twitter kuwa
Verified. Mkali huyo mwenye Followers Zaidi ya 34, 000 ametambuliwa na Twitter kuwa mmiliki pekee/halali wa akaunti yake.“Thank you Twitter.” Diamond ameandika.
...
UNAPOTAKA
kutaja majina ya vijana chipukizi, ambao sasa wanaogelea katika bahari
ya ustaa , basi huwezi kuliweka mbali jina la Ommy Dimpoz , mkali wa
vibao vikali vya Baadaye na Tupogo. Hizi ngoma mbili zimekimbiza sana na
nadhani ndizo zinazompa shoo nyingi , ndani na nje ya nchi , ingawa pia
hivi karibuni aliingiza mtaani kazi yake nyingine inayokwenda kwa jina
la Ndagushima. Katika vitu huwa napenda , basi...
Mwimbaji wa bongo Flava, H Baba amelazwa hostpitali ya Taifa ya
Muhimbili baada ya madaktari kugundua kuwa ana ugonjwa wa dengue ambao
umeshawauguza watu mbalimbali.
H Baba alipelekwa hospitalini hapo jana usiku, na inaelezwa kuwa
alianza kujisikia anaumwa tangu Jumatano (June 5), wakati anajiandaa
kwenda kuuaga mwili wa marehemu George Tyson aliyefariki kwa ajali ya
gari.
“Dengue, Muhimbili now saa nane...
Maelfu waandamana kupinga kombe la dunia
Maelfu
ya wenyeji wasio na makao mjini Sao Paolo waliandamana nje ya uwanja
utakaoandaa mechi ya kwanza ya kombe la dunia alhamisi ijayo wakipinga
gharama ya juu ya mashindano hayo.
Maandamano
hayo yaliwadia siku moja tu baada ya rais wa Brazil Dilma Rousseff
kuwahakikishia wageni na mashabiki wa kandanda kuwa kamwe hatoruhusu
maandamano yatie doa kwenye kipute hicho...