Jumamosi, 10 Mei 2014

WATAALAM WA MUZIKI WANASEMA, ENDAPO DIAMOND PLATNUMZ ASINGEFANYA HAYA BASI ASINGESHINDA TUZO HATA MOJA.

Una habari kuwa kuna sababu zilizompelekea diamond kuzidi ku-make headlines siku hadi siku?, kama ilivyo kwa msanii yeyote yule mwenye mafanikio duniani, kuna ishu mbili tatu zilizowahi kumtokea katika maisha yake, ambazo ndio zilimpelekea kumsukuma, pamoja na jitihada za kujituma, kuweza kumfikisha hadi kwenye mafanikio yake. Kama ulikuwa hujui, basi bila Diamond kufanya haya, hii leo, hizo tuzo zote, kuanzia ya mtv na kili zingekuwa...

MAMBO YAKUFANYA BAADA YA KUFANYA TENDO LA NDOA (KU-DO).   Wapenzi wengi wakimaliza tendo lao la ndoa/ ku-do waweza cheka sana na laiti kama ingetokea ikawa wazi kila anayemaliza akaonekana ni nini hufanya ungeweza cheka sana, kama wewe ni mmojawapo basi badilika... masuala ya kununiana, kugeuziana migongo na kukingiana makalio, eti kila mtu shuka lake ni aibu sana aiseee, badilikaaa, Raha ni kama hii hapo chini soma zaidi mambo...

ZIJUE SEHEMU MUHIMU ZA KUMSHIKA MPENZI WAKO NAKUMSISIMUA MKIWA FARAGHA

....  Zifuatazo ni sehemu kuu mbili (2) zenye msisimko katika mwili wa mwanaume: 1. SEHEMU YA KWANZA: Kwenye KIFUA Kifua ni moja ya sehemu alieumbiwa kila mwanadamu jinsia zote na sehemu hii ya kifua inamfumo wa kuamsha hisia katika mapenzi kwa sehemu tofauti kwa wanawake huleta msisimko katika maziwa na kwa upande wa mwanaume ni eneo zima pindi eneo hili likitumiwa ipasavyo kikubwa uwapo ndani na mpenzi...

KUTANA NA BUM BUM REMIX NI SHIDA VIDEO YA HUYU MSANII KUTOKA NIGERIA,, ILOYOIPA TAABU VYOMBO VYA HABARI KUIONYESHA.. ( 18+ )

Labda ingekua ya msanii wa Tanzania, Kenya, Uganda au Rwanda hii video ingekua imeshafungiwa kwenye nchi anayotoka kama ambavyo tumeshuhudia kufungiwa kwa video zisizopungua kumi kutokana na kudaiwa kuvunja maadili. Kwa mujibu wa ripoti iliyoifikia nchi ambayo imeongoza kwa kufungia video Afrika Mashariki ni Rwanda ikifuatiwa na Kenya kisha Tanzania. Hii video ya leo ni ya msanii wa Nigeria anaitwa Timaya akiwa na Mjamaica...

HATARI SANA, PICHA ZA JINSI MISS IFM 2014 ILIYTOKUWA MOTO

Prezo & His Dancers Mgeni wa Heshima Mheshimiwa Lau Masha uwanjani last night!! Mshindi wa mashindano hayo yaani the new Miss IFM 2014 live!! ...

ENDLESS FAME FILMS WATOA KAULI KUHUSIANA NA UGOMVI WA WEMA NA KAJALA

Kampuni ya filamu ya Wema Sepetu, Endless Fame Films, leo imetoa kauli yake kuhusiana na ugomvi wa mmiliki wa kampuni hiyo na aliyekuwa rafiki yake wa karibu Kajala Masanja. Maneja wa kampuni hiyo, Martin Kadinda ametoa msimamo huo kupitia mtandao wa Instagram. “Good morning all of You…. I just woke up Like “Hasiraless” kwakuwa hili vugu vugu la kutokuwa na maelewano mazuri kati ya Wema sepetu (myclient) na Kajala limekuzwa...

MAROUANE FELLAINI AWAAHIDI VITU VIKALI MASHABIKI WA MAN UNITED MSIMU UJAO

  Marouane Fellaini amekuwa na msimu mgumu sana Manchester United akitokea Everton.   KIUNGO wa Manchester United, Marouane Fellaini amesema majeruhi aliyokuwa nayo yamemfanya awe na kiwango kibovu, lakini ameahidi kufanya vizuri msimu ujao. Fellaini alisajili siku ya mwisho ya usajili kutoka Everton kwa ada ya uhamisho wa paundi milioni 27, lakini ameshindwa kuonesha thamani yake na kuisaidia United...

MAMADOU SAKHO ALMANUSURA AMTIE JANGA STURRIDGE KUELEKEA KUWAVAA NEWCASTLE

Mamadou Sakho akimuangusha Daniel Sturridge wakati wa mazoezi ya Liverpool. ALMANUSURA beki wa Liverpool, Mamadou Sakho ailetee janga klabu yake kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Newcastle baada ya kumfanyia rafu mbaya mshambuliaji wa klabu hiyo Daniel Sturridge wakati wa mazoezi leo. Sakho alikuwa sehemu ya ulinzi kwenye sare ya 3-3 dhidi ya Crystal Palace jumatatu ya wiki hii, ambapo  Liverpool walianza...

HUU NDIO UJUMBE ALIOJIBIWA MKE WA OBAMA aliokuwa ameupost leo kwenye vyombo vya habari.

Baada ya mke wa rais wa marekani BARACK OBAMA Kujitokeza akiwa ameshika bango linalosema "BRING BACK OUR GIRLS"  akiwa anamanisha warudishe nyumbani watoto walio tekwa na BOKO HARAM. habari yenyewe hii hapa chini.... Nigeria abductions: Michelle Obama 'outraged'   US First Lady Michelle Obama said her family was "outraged and heartbroken" US First Lady Michelle Obama has said the mass kidnap of Nigerian...

USAFIRI WA MOMBO-KOROGWE KUELEKEA WILAYA YA LUSHOTO WAKWAMA KWA TAKRIBANI MASAA SITA,NI KUTOKANA NA JIWE KUBWA KUANGUKA NA KUZIBA BARABARA

 Jiwe kubwa Likiwa limeanguka toka mlimani na kuziba Barabara ya Vuga Kutoka Mombo kuelekea korogwe na Lushoto  Baadhi ya wasafiri wakitembea kwa miguu baada ya kukwama eneo  Vuga  kwa takribani Masaa sita  Kwa juu ni mlima ambapo jiwe hilo liling'oka na kudondoka hatimaye kuziba barabara hiyo kwa takribani masaa sita  Abiria na madereva wakiwa wamekaa wakisubili mamlaka zinazohusikka wafike ili...

DIAMOND ASHANGAZWA JUU YA NYIMBO WAKE MPYA ILIYOTOKA LEO "KITORONDO",ADAI IMEIBWA KABLA YA YEYE KUIACHIA HEWANI HUKU IKIWA BADO HAIJAKAMILIKA

Wimbo ulio patakikana kwenye mitandao wa Diamond “Kitorondo” ana dai wimbo huo umevuja na hajui aliovujisha ni nani hii ndio kauli yake  Moja ya nyimbo zangu ambazo ziko store hazija toka nimeikuta mtandaoni na sijui imefikaje, tena ikiwa kwenye mfumo wa Voicenote, yaani haina quality kabisaa..  Tafadhari, kwa yoyote atakaeipata Asiitumie kwenye media ama hadhara, kwasababu Haijatoka na haiko Qualified….” hayo aliyasema...

BREAKING NEWZ:- MADUKA DDC KARIAKOO YANAWAKA MOTO MDA HUU Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba baadhi ya maduka yaliyopo eneo la DDC Kariakoo, Dar ...

 Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba baadhi ya maduka yaliyopo eneo la DDC Kariakoo, Dar yanawaka moto usiku hu...

MBOWE ATANGAZA RASM BARAZA LA MAWAZIRI KIVULI,MAJINA

Baraza La Mawaziri Vivuri Baraza La Mawaziri Vivu...

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amwagiza CAG na TAKUKURU wachunguze wizi wa mabilioni IPTL

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) pamoja na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) wameagizwa kuchunguza na kujiridhisha kama kweli upo uchotaji wa mabilioni ya shilingi katika akaunti ya Escrow iliyokuwa imefunguliwa ndani ya Benki Kuu (BoT) kwa ajili ya kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL).   Waziri Mkuu, Mizengo...

JE UNAPENDA KUANGALIA WANYAMA? ANGALIA PICHA NYATI AKIPAMBANA NA SIMBA KUJIOKOA !!

Kundi la Simba likielekea katika mawindo yake baada ya kuona kundi la Nyati.  Simba wakianza kujipanga kwaajili ya mashambulizi katika kundi la Nyati 6 walio waona. Nyati huyu ndio aliingia katika mtego na kuanza kufukuzwa na Simba. Kwa Mbali gari la Watalii likija eneo hilo na baada ya muda magari 12 yaliyo na watalii mbalimbali yalifika katika eneo hilo na kushuhudia mtanange mkali kati ya Simba na Nyati. Mpigapicha wa...