Alhamisi, 8 Mei 2014

JE UNATAKA KUMUOA JOKETI? SOMA HAPA ILI UMPATE KIULAINI

MTOTO mzuri kunako anga la uanamitindo Bongo, Jokate Mwegelo ameibuka na kuanika sifa za mwanaume ambaye anafaa kuwa mume wake. Mtoto mzuri kunako anga la watangazaji Bongo, Jokate Mwegelo. Akipiga stori na paparazi juzi jijini Dar, Jokate alisema anapenda mwanaume ambaye atajua kutafuta fedha kwa nguvu zote, awe anajua kubembeleza na awe na nidhamu kwa wazazi wake. “Sifa ya mume ninayemtaka, anapaswa kuwa mtafutaji wa fedha,...

HII NDIO VIDEO YA MSANII NYOTA WA BONGO MOVIE NA MISS UTALII WAKISAGANA NA PICHA 400, WATUMIA PIPI KIFUA KUSAGANA....MANAIKI AHUSIKA...TAZAMA HAPA

SITAKI KUONGEA MENGI TAFADHALI NI LAZIMA UWE MTU MZIMA ILI KUONA PICHA HIZO 400....YAANI KUANZIA MWANZO (WANAJIHAMASISHA KWA KUANGALIA VIDEO ZA NGONO) ILI WAPATE MIHAMSHO HADI WANAPOKIDHI HAJA ZAO (KURIDHISHANA) .... YAANI NI AIBU KWA WATANZANIA...WASANII WA BONGO MUVI NA MAMISS KWANI WAO NI KIOO CHA JAMII.... MTANADAO HUU WA PAPARAZI UNAPIGA VITA VITENDO VYA USAGAJI...SIJUI HAWA DADA ZETU HII TABIA NA KASUMBA YA KUSAGANA WAMEITOA...

WANACHAMA SIMBA SC MSIDANGANYIKE NA SIASA NYEPESI ZA WACHUMIA MATUMBO

TAYARI mchakato wa uchaguzi katika klabu ya Simba sc umeshaanza na tayari mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi, Damas Ndumbaro ametangaza kuwa juni 29 mwaka huu uchaguzi utafanyika Wapo watu wengi wanaotamani kuiongoza klabu ya Simba ambayo kwasasa ipo katika hali ngumu kwa soka la uwanjani. Kumaliza nafasi ya nne nyuma ya Mbeya City, Yanga na Azam fc ni jambo linalowaumiza wana Simba wote. Ni msimu wa pili mfufulizo Simba wanakosa nafasi ya kushiriki...

MAMBO YA VIUNO VILIVYOSHEHENI FULL SHANGA TANGA KUMEKUCHA...!!

...

HII NDIO LIST MPYA YA MATAJIRI AFRIKA. WATANZANIA WAPO WANNE. ICHEKI HAPA

Mtandao wa Forbes maarufu kwa kutoa taarifa kama hizi, umetoa list mpya ya matajiri 50 kutoka Africa na kuhusisha vyanzo vya pesa zao, umri wao pamoja na kiasi cha pesa wanachomiliki. List imeongozwa na Mnigeria Aliko Dangote (kwenye picha hapo juu) na mtanzania wa kwanza ameonekana kwenye namba 27 akiwa na utajiri wa dola bilioni moja. Cheki list yote hapa. Watanzania hawa wanne ni Rostam Aziz kwenye namba 27, Reginald...

Mwanamke Azalia kwenye ndoo na kukitupa kichanga chooni.....Polisi wamtia pingu na kumtupa nyuma ya Nondo

MWANAMKE aliyejulikana kwa jina la Hadija Mohammed, mkazi wa Mchikichini, Ilala jijini Dar es Salaam amekumbana na mkono wa sheria baada ya kufanya kitendo cha kinyama kufuatia kujifungulia kwenye ndoo kisha kichanga kukitupa chooni. Kwa mujibu wa chanzo, mwanamke huyo alikuwa na ujauzito uliotimiza miezi tisa na kila mtu alikuwa akiuona, lakini ghafla siku ya tukio baadhi ya ndugu waligundua kuwa hakuwa na ujauzito tena!  ...

UTABIRI MPYA: WABUNGE KUPOTEZA KAZI, VIONGOZI KUFA

Mtabiri maarufu Bongo, Alhaji Maalim Hassan Yahya Hussein. Wakati Bunge la Bajeti 2014/15 likiendelea mjini Dodoma na hivi karibuni viongozi wa dini kutoa ufafanuzi wa kuonekana kwa mwezi mwekundu na kueleza kwamba unaashiria mwisho wa dunia,  mtabiri maarufu Bongo, Alhaji Maalim Hassan Yahya Hussein amefunguka kwamba hiyo ni ishara kuwa, wabunge wengi watapoteza nyadhifa zao na viongozi wengi watakufa. Maalim ...

SABABU ZA BAADHI YA WANANDOA KULAZIMIKA KUCHEPUKA!

Kiukweli kabisa mchepuko siyo dili kwa kuwa wengi waliochepuka wamejikuta kwenye matatizo makubwa sana. Ndiyo maana tunashauriwa kubaki njia kuu kwa kujenga uaminifu kwa wale tuliotokea kuwapenda na kutodiriki kuwasaliti. Lakini wakati ukweli ukiwa hivyo, kasi ya kusalitiana kwa wapenzi imekuwa ikiongezeka kila kukicha. Utulivu umekuwa sifuri, unayedhani katulia kesho utasikia kafumaniwa. Unaweza kuwa na mpenzi ambaye kila...

SHOW YA OMMY DIMOZ ILIOWAPAGAWISHA WATOTO WA KIKE PANDE ZA MAMTONI,

...