
Kutoka
Bungeni: Mbatia atoa milioni 10 kwa professor atakayepata majibu yote
sahihi ya mtihani wa darasa la 7 .....Asema mtihani huo umejaa madudu
Changamoto ya mapungufu yaliyotajwa kwenye maandalizi ya vitabu na
mitihani ya kumaliza darasa la saba imepelekea mheshimiwa James Mbatia
kuwa-challenge maprofesa walioko bungeni kuufanya mtihani wa darasa la saba ambao kwa mujibu wake haufanyiki.
Akitoa mchango wake bungeni...