Ijumaa, 15 Agosti 2014

MADAI:KIGOGO AMCHOMA KISU MKEWE

Sehemu ya mguu alipochomwa kisu na Bw. Mugaka (mumewe). KIGOGO wa shirika moja la kimataifa linalojishughulisha na watoto yatima, tawi la mkoani Pwani, Tanzania aliyetajwa kwa jina moja la Mugaka, anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 35 hadi 40, ametupwa rumande akituhumiwa kumchoma kisu na kumtoa manundu mkewe, Leah (28).  Mke wa kigogo (Mugaka),Bi. Leah aliyefanyiwa unyama na mumewe. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri wilayani...

JINI KABULA: PIGA UA BUSHOKE ANANIOA

Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ amefunguka kuwa licha ya penzi lake na msanii Maximilian Bushoke kuwa na sarakasi nyingi lakini anaamini atamuoa. Akizungumza na paparazi wetu, Jini alisema watu wengi wamekuwa wakiuponda uhusiano wake kwa kuwa Bushoke anaishi Afrika Kusini na kuona hakuna mapenzi ya kweli lakini ukweli anaoujua yeye ndoa ipo. Msanii...

TANZANIA YAPOROMOKA VIWANGO VYA FIFA: YAPITWA NA RWANDA, KENYA, LESOTHO NA MOZAMBIQUE NI AIBU !!

SHIRIKISHO la Soka la Dunia (Fifa) limetangaza viwango vipya vya ubora wa soka duniani kwa Agosti, 2014 huku Tanzania ikiporomoka kwa nafasi nne kutoka 106 hadi 110. Katika orodha hiyo iliyotolewa leo Agosti 14, 2014 Ujerumani ndiyo vinara wakifuatiwa na Argentina, Uholanzi, Colombia, Ubelgiji, Uruguay, Hispania, Brazil, Switzerland na Ufaransa. ...

KWELI MCHEPUKO SIO DILI, MREMBO AMWAGIWA MAFUTA YA MOTO USONI KISA MUME WA MTU.

Mwanadada aliyefahamika kwa jina moja la Mbuva, mkazi wa Gongo la Mboto jijini Dar, hivi karibuni amejikuta akiharibiwa uso wake kwa kumwagiwa mafuta ya moto na shosti wake aitwaye Mama Sofia, kisa kikidaiwa ni mume wa mtu.Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo inadaiwa mama Sofia alimfanyia mwenzake unyama huo akimtuhumu kutembea na bwana wake.Akisimulia ilivyokuwa, Mbuva alisema:“Mama Sofia alipewa maneno ya uongo kwamba akiwa...

RAYUU AOMBA RADHI KWA PICHA ZAKE ZA UCHI......"NAIOMBA RADHI FAMILIA YANGU KWA YOTE NILIYOFANYA"

Msanii  anayefanya  vizuri  kunako  tasnia  ya  filamu  Bongo, Rayuu  Bagenzi  'Rayuu'  ambaye  amewahi  kukumbwa  na  skendo  kibao  ikiwemo  kupiga  picha  za  nusu  uchi  pamoja  na  kuonyesha  michoro  ya  tatoo  katika  sehemu  zake  nyeti  amedai  kuwa  amelazimika ...

ASKOFU ATUPWA JELA MIAKA 32 KWA UJAMBAZI WA KUTUMIA BUNDUKI BENKI YA MOSHI NA KUIBA SH5.3 BILIONI,AKODI GARI ILI AKAWABEBE WANAKWAYA WAKE KUMBE AKAENDA KUWABEBA MAJAMBAZI WENZAKE NA KUVAMIA BENKI HIYO

Benki ya NBC tawi la Moshi. Katika hukumu hiyo iliyotolewa jana na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kilimanjaro, Simon Kobelo, askofu huyo amehukumiwa kifungo hicho pamoja na raia watano wa Kenya baada ya kupatikana na hatia ya kufanya wizi huo kwa mtutu wa bunduki.Moshi. Askofu wa Kanisa la Christian Fellowship Assemblies of God la Arusha, Jumanne Kilongola amehukumiwa kifungo cha miaka 32 jela baada ya kupatikana...

KEYSHIA COLE ADAIWA NI MSAGAJI....VIDEO YAKE MPYA YAZUA UTATA

Keyshia  Cole  ambaye  hivi  karibuni  amepigana  chini  na  mume  wake  Daniel Gibson 'Boobie', mwishoni  mwa  wiki jana  aliachia  video  yake  mpya  ya  wimbo  wa  She, ambayo  ilishangaza  wengi  kutokana  na  kuwamo  matukio  ya  muonekano   wa  kushabikia  mahusiano ...

PENNY KUMCHEZESHA DIAMOND NGOLOLO KWENYE HARUSI YAKE

Mtangazaji  wa 93.7  E-FM  kupitia  kipindi  cha  Genge,  DVJ Penny  ambaye  wiki  kadhaa  zilizopita  picha  zake  zilisambaa  mtandaoni  zikimuonyesha  akiwa  amevishwa  pete   ya  uchumba  huku  mwanaume  aliyefanya  tukio  hilo  akiwa  ni  kitendawili, hatimaye  mwanadada ...