Jumapili, 25 Mei 2014

RAHA SANA RONALDO, GARETH BALE WAONGOZA SHEREHE ZA UBINGWA MJINI MADRID, `MADEMU` ZAO RAHA TUPU!

 Gareth Bale na Luka Modric  wakishangilia ubingwa wa  Real katika mitaa ya Madrid. CRISTIANO Ronaldo na Gareth Bale wameongoza sherehe za ubingwa wakati Real Madrid wakipita mitaa ya mji mkuu wa Hispania, Madrid, wakishangilia kunyakua ubingwa wa UEFA kwa kuwafunga mabao 4-1 wapinzani wao Atletico Madrid katika mchezo wa fainali jana usiku mjiji Lisbon Wachezaji wa Real wamesherehekea na mashabiki wao...

TAZAMA PICHA ZA DIAMOND AKIWA DALLAS MAREKANI TAYARI KWA KUDONDOSHA SHOW YA NGUVU

...

DR. GHALIB BILAL AGAWA ZAWADI HEWA KWA WANAFUNZI BORA

Wakati wabunge wakiijia juu Wizara ya Elimu na Mafunzo kutokana na kuwepo kwa hali ya kuporomoka kwa kiwango cha elimu nchini, kashfa ya aina yake imeibuka ikihusisha wizara hiyo kumtumia Makamu wa Rais Dk. Gharib Bilal kuwapa zawadi hewa wanafunzi 10 bora wa mwaka jana. Taarifa zilizozifikia NIPASHE zinasema tukio hilo ilifanyika Mei 10 wakati wa kilele cha Wiki ya Elimu nchini iliyofanyika mkoani Dodoma, ambapo Dk. Bilal alikuwa...

JINSI YA KUSHIKA MIMBA HARAKA

1. Kufanya tendo la ndoa mara kwa mara, angalau siku tatu kwa wiki, ikiwezekana on alternate days. 2. Tumia ovulation prediction kit, hiki ni kifaa ambacho kitakusaidia kujua wakati hasa mwanamke ameengua yai na ndio kipindi ambacho mwanamke ana uwezo wa kushika mimba akikutana na mumewe. Ni rahisi kutumia.  3. Fanya tendo la ndoa kabla ya kuengua yai (kabla ya ovulation), huongeza uwezekano wa kushika mimba kuliko...