Gareth Bale na Luka Modric wakishangilia ubingwa wa Real katika mitaa ya Madrid.
CRISTIANO
Ronaldo na Gareth Bale wameongoza sherehe za ubingwa wakati Real Madrid
wakipita mitaa ya mji mkuu wa Hispania, Madrid, wakishangilia kunyakua
ubingwa wa UEFA kwa kuwafunga mabao 4-1 wapinzani wao Atletico Madrid
katika mchezo wa fainali jana usiku mjiji Lisbon
Wachezaji
wa Real wamesherehekea na mashabiki wao...