Jumapili, 4 Mei 2014

WASANII WAMFANYIA VIBAYA MTITU MSIBANI:Wasusia chakula,KANISANI WAISHIA NJE,WAGOMA KWENDA KUZIKA MKOANI NJOMBE   Baadhi ya wasanii wa filamu Bongo wameshindwa kuonesha utu ipasavyo kwa msanii mwenzao, William Mtitu ambaye hivi karibuni alifiwa na baba yake mzazi. Baba wa msanii huyo, John Mtitu alifariki dunia baada ya kusumbuliwa na uvimbe kichwani na alipofanyiwa upasuaji, hakuweza kuzinduka. Wasanii mbalimbali wakiomboleza...

HBABA NOMA;HBABA AFUNGUKA YA OYONI KUWAHUSU DULLY, TID, Q CHIEF NA WASANII WENGINE. SOMA ALICHOKISEMA HAPA. Sasa jioni ya leo msanii H Baba kaamua kutoa shukrani kwa wasanii mbalimbali waliochangia kuufikisha mziki wa Bongo Flava hapa ulipo leo. Msanii H Baba kaamua kumwaga shukrani nyingi sana kwa msanii Dully Sykes kwa kumwelezea kama mtu aliyechangia vitu vingi sana katika mziki huu wa Bongo Flava. Hiki ndo alichokiandika msanii...

BAADA YA TUZO 7 MAMBO YALIKUWA HIVI

WEMA SEPETU, DIAMOND WAKIJIACHIA CHUMBANI BAADA YA TUZO; MASUPASTAA ambao ni wachumba (wanasema wenyewe), Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu na Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ wakiwa katika pozi la kimahaba kitandani Naf beach hotel. Picha hizi Wema  amezitupia katika akaunti yake ya Instagram na kuandika maneno yafuatayo "Thank God tumemaliza salama...Nd we are Happy it went well...Alahamdulillah....Baadae inshallah...Tulale...

CCM OYEEEEEE;

KINANA ATOA SOMO KISIWANI PEMBA JIONI YA LEO  Katibu Mkuu wa CCM,Ndg. Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa Mikoa miwili ya Kisiwani Pemba waliofurika kwa wingi kwenye Mkutano wa Hadhara wa Chama cha Mapinduzi uliofanyika jioni ya leo kwenye Viwanja vya Gombani ya Kale,Kisiwani Pemba.Katika hobuba yake,Ndg. Kinana amewataka Wananchi wa Kisiwani humo,kutohadaika na Wanasiasa wanapita kila mahali kwa lengo la kulipotosha Taifa,hasa...

VETA MAKETE WATEMBELEA WATOTO YATIMA NA KUTOA MISAADA MBALIMBALI

 Wafanyakazi wa VETA Makete wakiwa katika picha na watoto yatima wa kituo cha Bulongwa.  Mfanyakazi wa VETA Makete akiwa amembeba mtoto yatima anayelelewa kituoni hapo  Sanga akiwa amembeba mtoto yatima anayelelewa katika kituo cha Bulongwa  Wakifurahia pamoja na watoto hao kwa kuimba nyombo.  Wakiwa katika picha ya pamoja nje ya kituo hicho.  Methew Komba akiwa amembeba mtoto yatima  watoto...

MADAI YAENEA MJINI... MUME JELA, AUNT APONDA RAHA dubai,mashemeji wamuandalia talaka

MASKINI wee! Habari za mjini zinadai kuwa, staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel yuko Dubai akiponda raha huku mumewe, Sunday Demonte akidaiwa kuwa jela jijini Abu Dhabi katika nchi za Falme za Kiarabu (UAE). Staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel akiponda raha. Awali, ilidaiwa kuwa, Aunt aliondoka  Bongo kwenda Dubai kuungana na mumewe katika ndoa, lakini vyanzo vya karibu vikahoji mumewe yupi? Mbona yuko jela baada ya kudakwa kwa...