Jumatatu, 18 Agosti 2014

SUMAYE ASHAURI KUSITISHWA KWA BUNGE LA KATIBA

Waziri mkuu wa zamani nchini Tanzania Fredrick Sumaye amependekeza kusitishwa kwa mjadala wa katiba mpya unaoendelea mjini Dodoma kwa kuwa inaonekana dhahiri kuwa si muda muafaka wa kupata katiba mpya kwa sasa. Amesema kusitishwa kwa mjadala huo kutatoa fursa kwa watanzania kujipa muda zaidi wa kutafakari ili kufanikisha upatikanaji wa katiba muafaka kwa wakati unaofaa.   Kauli hiyo ya waziri mkuu wa zamani imekuja wakati...

JESHI LA POLISI LATANGAZA KUANZA UCHUNGUZI WA KINA DHIDI YA FREEMAN MBOWE , DK. SLAA , LISSU, MNYIKA NA GODBLESS LEMA WANAOTUHUMIWA KWA MAUAJI NA VITENDO VYA KIGAIDI

JESHI la Polisi limetangaza kuanzisha uchunguzi wa kina dhidi ya viongozi wa kitaifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), waliotajwa na kada wa zamani wa chama hicho, Habibu Mchange, kujihusisha kupanga na kutekeleza njama zenye mwelekeo wa ugaidi.   Limesema tuhuma zilizotolewa na Mchange zimelishtua, hivyo zinapaswa kuchukuliwa kwa uzito wa hali ya juu, unaohusisha mwenendo wa uchunguzi wenye tahadhari wa makosa ya jinai,...