
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Mjumbe
Maalumu wa Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini ambaye pia ni Waziri wa
Mambo ya Nje wa nchi hiyo Mama Maite Nkoana-Mashabane Ikulu jijini Dar
es Salaam leo Juni 5, 2014.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa
Kimataifa, Mhe. Bernad Membe alikuwepo pia.
(PICHA NA IKUL...