Alhamisi, 5 Juni 2014

Rais Kikwete akutana na mjumbe maalumu wa Rais wa Afrika Kusini leo Ikulu Dar es Salaam

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Mjumbe Maalumu wa Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Mama Maite Nkoana-Mashabane Ikulu jijini Dar es Salaam leo Juni 5, 2014. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernad Membe alikuwepo pia.    (PICHA NA IKUL...

HAYA NDIO YALIOJIRI SAKINA ARUSHA HII LEO.

Mmiliki wa Nyumba aliyokutwa Nyoka mkubwa na kuuwawa na wananchi wa sakina leo   Hii ndiyo nyumba yake       Kwa mujibu wa Arusha yetu Blog wanasema kuwa nyoka huyo aliuwawa na wananchi ambaye alionekana maeneo ya  Mgodini Sakina Arusha na akiwa amefungwa kitambaa chenye maaandishi mekundu. Wakazi wa eneo la Sakina wamepatwa na mshtuko mkubwa Kikubwa zaidi kwa nyoka huyo ni kuwa...

SOMA HAPA UJUE MPAKA SASA UNADAIWA SHILINGI NGAPI NA SEREKALI

Ukuaji wa deni la taifa waumiza vichwa wabunge.....Mpaka sasa kila mtanzania anadaiwa Tsh.600,000 Bunge la bajeti linaendelea bungeni mjini Dodoma ambapo sasa ni zamu ya wizara ya fedha na uchumi. Bajeti yake imewasilishwa na waziri wa fedha Saada Mkuya Salum ambapo bajeti yake imepita huku suala la deni la taifa likiendelea kuumiza vichwa vya wabunge wengi kwa kuendelea kukua siku hadi siku.   Suala hilo limeonekana kuwashtua...

PICHA:HUYU NDIO MTOTO WA KIKE WA R KELLY ALIYEJIBADILI KUWA MVULANA

Dunia inasurprises nyingi, kuna watu hawapendi muonekano wao na hufanya juu chini hata kufanya upasuaji ili wawe na sura ya mvuto lakini wapo wengine ambao hawapendi kabisa jinsia waliyopewa na Mungu.   Mtoto wa mfalme wa R&B, Robert Kelly aliyezaa na muigizaji Andrea Kelly aliyewahi kuwa mke wake ameipinga jinsia yake na kujiunga na kundi la watu wanaoishi kwa mtazamo tofauti na jinsia zao na kujibadilisha...

Unamkumbuka yule trafic wa Kenya alievaa sketi fupi?kaja na hii tena.

Yule trafiki wakike wa Kenya ambae kwa sasa Wakenya wengi wanamuita Koplo Linda Okelo ameingia tena kwenye headlines huko huko Kenya na kwa sasa ameamua kwenda mahakamani kupinga hatua ya kamati ya kinidhamu iliyowekwa. Hatua hiyo ni ya kuchunguza madai ya kuvaa sketi fupi ambayo imesemwa kuwa ilikua nje ya maadili ya kazi na sheria za Jeshi hilo la Polisi la nchini Kenya. Kupitia kwa wakili wake Tom ojienda Koplo Lindah amesema kwamba...