
Hii ndiyo sababu ya Victoria Kimani kuwa na ukaribu mkubwa na Diamond Platnumz.
Baada
ya kuja Tanzania na kuonekana akiwa karibu sana na president wa wasafi
Mr Dangote aka DiamondPkatnum, hadi kuzua balaa katika penzi, kati ya
Diamond na Wema Sepetu, huku kila mtu akidhani kuwa Victoria alikuwa
anania ya kumpindua Wema. Hivi sasa ukweli ndio umejulikana, Baada ya
ukimya wa muda tangu ishu nzima na skendo hiyo zianze hapa town,
Victoria...