Ijumaa, 9 Mei 2014

BREAKING NEWS: BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI ENEO LA WAMI




Ajali imetokea mida ya saa nne karibu na wami kutokea dar es salaam.. gari ni kampuni ya dar express iliyokua ikielekea nairobi.. Abiria wengi wamenusurika kutoka ila kuna majeruhi wachache ambao haijalikana bado kama kuna aliyekufa.

0 comments:

Chapisha Maoni