Jumatano, 7 Mei 2014


PicMonkey Collagebeyo
Ni vazi la kiafrika ambalo kwa sasa limeanza kushika kasi na kuteka baadhi ya mastar wa mbele kama Beyonce, Amber Rose, Kim kardashian, Elicia Key na wengine kibao, kutokana na fashion kuwa bora zaidi na kuvutiwa wengi uenda Afrika ikazidi kupata soko kubwa kutokana uhitaji wa vitu vya asili kuwavutia wengi.








0 comments:

Chapisha Maoni