Jumapili, 25 Mei 2014

RAHA SANA RONALDO, GARETH BALE WAONGOZA SHEREHE ZA UBINGWA MJINI MADRID, `MADEMU` ZAO RAHA TUPU!

 Gareth Bale na Luka Modric  wakishangilia ubingwa wa  Real katika mitaa ya Madrid. CRISTIANO Ronaldo na Gareth Bale wameongoza sherehe za ubingwa wakati Real Madrid wakipita mitaa ya mji mkuu wa Hispania, Madrid, wakishangilia kunyakua ubingwa wa UEFA kwa kuwafunga mabao 4-1 wapinzani wao Atletico Madrid katika mchezo wa fainali jana usiku mjiji Lisbon Wachezaji wa Real wamesherehekea na mashabiki wao...

TAZAMA PICHA ZA DIAMOND AKIWA DALLAS MAREKANI TAYARI KWA KUDONDOSHA SHOW YA NGUVU

...

DR. GHALIB BILAL AGAWA ZAWADI HEWA KWA WANAFUNZI BORA

Wakati wabunge wakiijia juu Wizara ya Elimu na Mafunzo kutokana na kuwepo kwa hali ya kuporomoka kwa kiwango cha elimu nchini, kashfa ya aina yake imeibuka ikihusisha wizara hiyo kumtumia Makamu wa Rais Dk. Gharib Bilal kuwapa zawadi hewa wanafunzi 10 bora wa mwaka jana. Taarifa zilizozifikia NIPASHE zinasema tukio hilo ilifanyika Mei 10 wakati wa kilele cha Wiki ya Elimu nchini iliyofanyika mkoani Dodoma, ambapo Dk. Bilal alikuwa...

JINSI YA KUSHIKA MIMBA HARAKA

1. Kufanya tendo la ndoa mara kwa mara, angalau siku tatu kwa wiki, ikiwezekana on alternate days. 2. Tumia ovulation prediction kit, hiki ni kifaa ambacho kitakusaidia kujua wakati hasa mwanamke ameengua yai na ndio kipindi ambacho mwanamke ana uwezo wa kushika mimba akikutana na mumewe. Ni rahisi kutumia.  3. Fanya tendo la ndoa kabla ya kuengua yai (kabla ya ovulation), huongeza uwezekano wa kushika mimba kuliko...

Ijumaa, 23 Mei 2014

INASEMEKANA MPENZI WA NEY WA MITEGO ANATAKA KUGAWANA VITU NA NEY,SABABU IPO HAPA.

 Miongoni mwa mabalozi wapya kutoka mtandao wa Airtel ni pamoja na Ney wa mitego,stori ambayo imemfikia Soudy Brown ni kwamba mpenzi wake ametaka kugawana vitu na Ney wa Mitego ambavyo amevipata wakiwa pamoja,maongezi ya Ney wa Mitego alipoulizwa na Soudy Brown juu ya tuhuma hizi kama ni za kweli hiki ndicho alichojibu.  Bonyeza play kumsikiliza Ney hapa....

Kuhusu Samuel Eto’o, Lampard, Cole na Mtanzania Nditi kuachwa na Chelsea

May 23 2014 inaingia kwenye historia hata kwa Watanzania wenyewe manake kuona mkali wetu ameachwa kwenye kikosi cha Chelsea msimu ujao sio habari njema. Kwa mujibu wa tovuti ya Premier League, Frank Lampard Ashley Cole na Samuel Eto’o inasemekana wameachwa kwa sababu mikataba yao na Chelsea imemalizika ambapo pia mtanzania Adam Nditi nae ameingia kwenye list ya wachezaji walioachwa na club hiyo. ...

PATRICE EVRA AONGEZA MKATABA WA MWAKA MMOJA MANCHESTER UNITED

BEKI mfaransa, Patrice Evra ameongeza mkataba wa mwaka mmoja  Manchester United , klabu imethibitisha. Evra alitazamiwa kuondoka baada ya United kuweka ofa ya paundi milioni 27 kwa beki wa kushoto wa Southampton , Luke Shaw. Lakini beki huyo ameamua kubakia kwa mwaka mmoja katika ubosi wa kocha mpya Louis van Gall. Anabaki: Patrice Evra ameongeza mkataba wa mwaka mmoja  Manchester United. Mapema wiki hii, Evra aliripotiwa kuwa...

KATIBU WA NCCR-MAGEUZI ATIWA MBARONI.......

...

LULU AAMUA KUACHIA MAZIWA YAKE BARABARA MCHANA KWEUPEEE!!

Nadhani umeshagundua kit...

BIBI WA MIAKA 63 AKAMATWA NA ZAIDI KILO 6 AIRPORT CHEKI MKANDA MZIMA HAPA

Bibi Kizee akamatwa na madawa ya kulevya Airport ya Brazil jana rio de janairo Inatia huruma na kusikitisha sana kama dada zetu ,mama zetu na hata bibi zetu sasa wana diriki kuangamiza vijana na jamii kwa ujumla. ...

Alhamisi, 22 Mei 2014

WANAFUNZI WA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA STEFANO MOSHI(SMMUCO) WAFUNGA BARABARA WAKITAKA KULIPWA PESA ZAO ZA MKOPO

 Wanafunzi wakiwa katika Makundi mbalimbali katika mgomo huo  Mgomo ukiwa unaendelea huku wakidai pesa zao   Wanafunzi wakiwa wamefunga Njia muda huu Hapa wakiendelea na madai yao wakiwa ni wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza wa Pili na WatatuEndelea kufuatilia click >>hapa<< ...

ANGALIA PICHA MCHUNGAJI ALIYEHARIBIWA SURA KWA TINDIKALI, SASA AENDELEA VYEMA

Mchungaji Umar Umulinde wa Uganda akiwa hospitalini. Hizi ni baadhi ya picha alizopiga hivi karibuni mchungaji Umar Umulinde wa Uganda ambaye alimwagiwa tindikali katika mkesha wa sikukuu ya christmas mwaka jana mara baada ya kumaliza ibada,ambapo mpaka sasa kikubwa ambacho mchungaji Umulinde ambaye alikuwa muumini wa dini ya kiislamu kabla ya kubadili na kuokoka anasema ni kwamba waliomwagia tindikali ni waumini wa dini...

ANGALIA PICHA MCHUNGAJI ALIYEHARIBIWA SURA KWA TINDIKALI, SASA AENDELEA VYEMA

Mchungaji Umar Umulinde wa Uganda akiwa hospitalini. Hizi ni baadhi ya picha alizopiga hivi karibuni mchungaji Umar Umulinde wa Uganda ambaye alimwagiwa tindikali katika mkesha wa sikukuu ya christmas mwaka jana mara baada ya kumaliza ibada,ambapo mpaka sasa kikubwa ambacho mchungaji Umulinde ambaye alikuwa muumini wa dini ya kiislamu kabla ya kubadili na kuokoka anasema ni kwamba waliomwagia tindikali ni waumini wa dini...